• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila " Tuendelee Kudumisha Amani Tunaposherekea Sikukuu ya Mwaka Mpya 2026"

Posted on: December 31st, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa rai kwa Wananchi kuendelea kudumisha amani wanaposherehekea sikukuu ya mwaka mpya huku akisisitiza kuendelea kumshukuru Mungu kwa baraka zake katika kipindi cha mwaka uliopita 2025

Akizungumza leo Disemba 31, 2025 na waandishi wa habari katika ukumbi wa hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es salaam wakati akitoa salam za mwaka mpya 2026  RC Chalamila amesema Mkoa huo umeendelea kuwa salama tena sana huku akisisitiza kuwa Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imeendelea kusimamia uwepo wa amani nchini kwa umakini mkubwa lakini kila mtu anapaswa kulinda amani na kuepuka taharuki za mafataki bila kibali cha polisi na uchomaji wa mataili wakati wa kusherehekea mwaka mpya 2026

Aidha RC Chalamila amezungumzia hatua kubwa za kimaendeleo ambazo Mkoa umeendelea kutekeleza ikiwemo ujenzi wa baranara na madaraja unaoendelea kwenye maeneo mbalimbali ya Mkoa huo ikiwemo barabara ya Jangwani ambayo imekuwa na changamoto nyingi hasa nyakati wa mvua ambapo amewataka wakandarasi wa ujenzi huo kufanya kazi usiku na mchana ili mradi ukamilike kwa wakati  pia akizungumzia ujenzi wa barabara kupitia mradi wa DMDP.

Akizungumzia changamoyo ya upungufu wa maji kwenye Mkoa huo kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi, RC Chalamila amesema kwa sasa mvua zimeanza kunyesha  kiwango cha maji kwenye mto Ruvu kimeogezeka vilevile Serikali ya Dkt Samia imeendelea kutafuta suluhu ya kudumu ya uhaba wa maji kwa kujenga  bwawa kubwa la kisasa la kidunda ili kumaliza changamoto ya maji huku kukiwa na mpango mwingine kabambe wa kutumia mto Rufiji kusambaza maji jijini humo

Aidha amezungumzia suala la umeme ambapo amesema serikali Mkoani humo imaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme pia amezungumzia mikakati ya mkoa huo kupokea wanafunzi zaidi ya  95,323 wanaotakiwa kuwa shuleni kidato cha kwanza mwezi januari 2026 pamoja na wanafumzi wa shule za awali na msingi huku akisisitiza suala la kutokuwepo kwa michango isiyo ya lazima mashuleni.

Sanjari na hayo amezungumzia mpango wa bima ya afya kwa wote kama ambavyo Rais Dkt Samia ameelekeza huku akisisitiza suala la wananchi kutopata usumbufu wa kuchukua miili ya wapendwa wao wanapotangulia mbele ya haki wakiwa Hospitalini

RC Chalamila vilevile amezungumzia changamoto iliyojitokeza Oktoba 29 ya matukio ya uvinjifu wa amani na uharibifu wa miundombinu ambapo amesema Serikali imaendelea kurejesha huduma muhimu za kijamii zilizoharibiwa huku akielekeza wamamchi kushirikiana na Serikali kudumisha amani na kuwataka viongozi wa dini kudumisha amani

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 22-26 DISEMBA 2025 DSM December 22, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila " Tuendelee Kudumisha Amani Tunaposherekea Sikukuu ya Mwaka Mpya 2026"

    December 31, 2025
  • Dkt Mwigulu Nchemba Aunga Mkono Ujenzi wa Kituo cha Daladala Bunju B

    December 29, 2025
  • RC Chalamila Ashiriki Ibada ya Sikukuu ya Christmas Usharika wa KKKT Kimara Korogwe

    December 25, 2025
  • Ziara ya Naibu Waziri OWM-TAMISEMI MHE Reuben Kwagilwa Dar

    December 22, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa