• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Amana

Posted on: December 3rd, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Disemba 3,2025 amezindua rasmi wodi mpya yenye vifaa maalum vya kisasa kwa ajili ya watoto wachanga kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Jijini Dar es Salaam.

Wodi hiyo inayotoa huduma kwa watoto wachanga inajumuisha wodi ya watoto wachanga (General Ward) Kitengo cha KMC, na chumba maalum cha Kangaroo (Father Care), awali wodi kulikuwa na vitanda 6 tu lakini sasa kina jumla ya vitanda 32 - 15 vya General Ward, 15 vya KMC na 2 vya Kangaroo (Father Care).

Aidha mradi huo ukarabati wake umegharimu jumla ya shilingi za Tanzania 931,992,527 na umetekelezwa kwa awamu mbili ya kwanza mwaka 2020 iligharimu shilingi 349,716,470 na awamu ya pili mwaka huu 2025 iliyogharimu shilingi 582,276,057

Ukarabati huo unaifanya Hospitali ya Amana kuwa miongoni mwa vituo vya huduma bora kwa watoto wachanga nchini Tanzania yenye teknolojia bunifu, matumizi ya takwimu katika kupanga na kuboresha huduma, pamoja na kuimarisha uwezo wa watumishi kupitia mafunzo na ufuatialiaji endelevu.

Vilevile maboresho hayo yamejumuisha ufungaji wa vifaa maalum vya kisasa vinavyotumia teknolojia za kuokoa maisha ambazo ni za msingi kwa uhai wa watoto wachanga waliolazwa, teknolojia hizo ni pamoja na mashine (CPAP) vifaa vya tiba ya mwanga( phototherapy), na  vichujio vya hewa ya oksijeni.

Mwisho ifahamike kuwa mradi huo umetekelezwa kupitia mpango wa NEST 360 ambao unatekelezwa Tanzania na Taasisi ya afya ya Ifakara kwa kushirikiana na Wizara ya afya pamoja na wadau mabalimbali ambapo Mkuu wa mkoa amewashukuru na kutoa rai kwa wadau wengine kuendelea kuisaidia sekta ya afya hapa nchini


Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 24-28 NOVEMBA 20225 DAR ES SALAAM December 01, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Amana

    December 03, 2025
  • Rais Dkt Samia Suluhu Akutana na Wazee wa Dar es Salaam

    December 02, 2025
  • Rais DKT Samia Kuzungumza na Wazee wa Dar Disemba 2,2025

    December 01, 2025
  • Waziri Mkuu Atembelea Miundombinu iliyohabiriwa na Vurugu za Oktoba 29 Dar.

    November 24, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa