• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miundombinu ya TANESCO-DSM

Posted on: October 16th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Albert Chalamila amefanya ziara ya kutembelea kituo kikuu cha kuzalisha umeme TANESCO kilichopo Ubungo Jijini Dar es salaam pamoja na vituo vya kupoza umeme vya mabibo na Mbagala ikiwa ni katika kukagua uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwenye sekta ya umeme ambapo amewahakikishia wananchi kuwa suala la kukatika kwa umeme jijini humo linakwenda kuwa historia.

Akizungumza jijini Dar es salaam wakati wa ziara hiyo Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila amesema Mkoa huo pekee Serikali imewekeza takriban shilingi Trilioni 1.3 kwenye sekta ya umeme hivyo suala la kukatika umeme kwa sasa sio kwa sababu za upungufu wa umeme bali ni maboresho tu ya miundombinu hususani baada ya Rais Dkt Samia kukamilisha ujenzi wa  bwawa la kuzalisha umeme la Mwl Nyerere

Aidha RC Chalamila amewataka wananchi wa Mkoa huo kushirikiana na Serikali kulinda miundombinu ya shirika la umeme, isiharibiwe ili kuendelea kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwani shughuli zote za kiuchumi na uwekezaji zinahitaji uimara kwenye sekta ya umeme

Vilevile RC Chalamila ameendelea kuwakumbusha wakazi wa Mkoa huo na watanzania waliojitokeza kwenye ziara hiyo kuwa Octoba 29 mwaka huu ni siku ya uchaguzi hivyo kila mwananchi mwenye sifa ya kupiga kura ajitokeze kupiga kura kwa kwa amani huku akiwatahadharisha wote wenye nia ya kuleta vurugu kuwa Serikali haitowavumilia

Naye Naibu Mkurugenzi mtendaji wa shirika la umeme nchini TANESCO kwa upande wa usambazaji umeme Mhandisi Atanasius Nangali ameeleza namna serikali Mkoani humo ilivyoongeza uwekezaji kwenye uzalishaji umeme huku Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Wakili Albert Msando aliposhiriki ziara hiyo amesema uwekezaji wa umeme unaofanyika umekuwa na manufaa makubwa kwenye kuboresha maisha na kuongeza ajira kwa vijana

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miundombinu ya TANESCO-DSM

    October 16, 2025
  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miundombinu ya TANESCO-DSM

    October 16, 2025
  • RC Chalamila Akagua Ujenzi wa Madaraja - DSM

    October 15, 2025
  • RC Chalamila Azindua Programu ya Konekt Umeme,Pika kwa Umeme

    October 09, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa