• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Ashiriki Ibada ya Sikukuu ya Christmas Usharika wa KKKT Kimara Korogwe

Posted on: December 25th, 2025

 

-Achangia ushirika wa KKT Kimara Sadaka milioni 50.

-Asema Rais Dkt Samia anatuelekeza nyakati zote kufanya kazi kwa karibu na viongozi wa Dini

-Akubali mtoto  mchanga iliyetoka mazingira hatarishi, anayelelewa na ushirika huo kubatizwa kwa jina lake

-Asema Shauku ya Mhe Rais Dkt Samia ni kuona Kila mtanzania anafanya vitu kwa Uhuru " Amani ikitoweka Vitu vingi hutoweka.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila leo Disemba 25,2025 ameshiriki ibada ya Sikukuu ya Christmas na waumini wa ushirika wa KKT Kimara Wilaya ya Ubungo Jijini humo.

Wakati wa ibada hiyo  iliyongozwa na Mch. Mastai Mkuu wa Mkoa alipata wasaa wa kutoa salamu kwa waumini wa ushirika huo ambapo alisema yeye amekuja kusali hakutegemea kama angepata nafasi ya kusalimia hivyo anashukuru sana kwa kupatiwa heshima hiyo.

Aidha RC Chalamila amepongeza juhudi kubwa na ubunifu unaofanywa na mchungaji Mastai wa kuendeleza ushirika huo ni dhahiri kila kitu kinaonekana wazi idadi ya waumini ni kubwa lakini pia hata miundombinu ya ushirika huo imeendelea kuboreshwa ambapo ametoa sadaka ya milioni 50 ambayo anaamini itakwenda kuongeza nguvu katika ushirika huo.

Vilevile RC Chalamila amema Rais Samia anatuelekeza nyakati zote kufanya kazi kwa karibu na viongozi wa dini kwa kuwa viongozi hao ni nguzo muhimu katika ustawi wa jamii na maendeleo ya taifa.

Sanjari na hilo RC Chalamila amemkubali mtoto mchanga ambaye ametolewa katika mazingira hatarishi, analelewa na ushirika huo na kubatizwa kwa Jina la Mhe Albert Chalamila ambapo RC Chalamila amepongeza ushirika huo kwa vitendo vya huruma vya kulea watoto wanatoka katika mazingira hatarishi "Hakuna mtoto wa mtaani, mtaa hauwezi kuzaa mtoto ni vema jamii itambue kuna umuhimu wa kulea watoto wanaoishi mazingira hatarishi ambao ni sehemu ya jamii" Alisema Chalamila

Mwisho RC Chalamila amesema shauku ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu ni kuona kila mtanzania anafanya vitu kwa Uhuru na Amani ikitoweka vitu vingi hutoweka hivyo ni muhimu kudumisha na kulinda amani ya taifa letu kamwe kilichotokea Oktoba 29 kisirudie tena


Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 05-09 JANUARI,2026 DAR ES SALAAM. January 13, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi Kuzindua Jengo la Wageni Mashuhuri JNIA Januari 16,2026

    January 15, 2026
  • RC Chalamila Afika 'Site' Block D, Kunduchi Kutatua Mgogoro wa Nyumba ya Mama Mjane

    January 07, 2026
  • Naibu Waziri wa Nchi OWM-TAMISEMI Mhe Kwagilwa Ahitimisha Ziara ya Kikazi Dar

    January 03, 2026
  • RC Chalamila " Tuendelee Kudumisha Amani Tunaposherekea Sikukuu ya Mwaka Mpya 2026"

    December 31, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa