• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Akagua Ujenzi wa Madaraja - DSM

Posted on: October 15th, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila ametembelea na kukagua ujenzi wa madaraja mbalimbali Jijini humo ikiwemo ujenzi wa daraja la Jangwani linalounganisha wilaya za Ilala na Kinondoni, daraja la mto mzinga wilaya ya Temeke pamoja na daraja la  nguva na geti jeusi wilaya ya Kigamboni kwa lengo la kujionea kasi na viwango vya ujenzi wa miundombinu hiyo.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo RC Chalamila amesema Serikali imedhamiria kumaliza changamoto kwa wananchi hususani mafuriko ambayo yamekuwa yakikwamisha shughli za maendeleo za wananchi hivyo amewataka makandarasi kukamilisha miradi hiyo kwa wakati huku akiwataka wananchi kuunga mkono serikali kwa kutunza na kulinda miradi hiyo

Vilevile amemshukuru Rais Dkt Samia kwa kutoa fedha nyingi za ujenzi wa miradi mbalimbali katika mkoa huo miradi ambayo inagharimu pesa nyingi kama vile mradi wa daraja la Jangwani unagharimu zaidi ya shilingi bilioni 97, daraja la mto mzinga na barabara hadi kongowe shilingi bilioni 54, daraja la geti jeusi na daraja la nguva zaidi ya shilingi bilioni 9 kila moja.

Aidha RC Chalamila ametumia ziara hiyo kuzungumza na wananchi na kuwakumbusha kuwa Oktoba 29 mwaka huu ni siku ya uchaguzi mkuu hivyo wanapaswa kujitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura kwa amani na utulivu bila kujihusisha na vitendo vya vurugu kwani ulinzi wa amani ya nchi ni juhumu la kila mtu na kwamba uvinjifu wowote wa amani hautovumiliwa.

Kwa upande wa Meneja wa TANROAD Mkoa wa Dar es salaam Mhandisi Razerk Kyamba ameeleza namna miradi yote ya ujenzi wa madaraja inavyoendelea na kusema kuwa ipo kwenye hatua nzuri licha ya kuwa baadhi yake ilichelewa kuanza kutokana na changamoto mbalombali ikiwemo mvua

Kwa upande wao wakuu wa Wilaya za Ilala na Kinondoni waliposhiriki ziara hiyo wamemshukuru Rais Dkt Samia kwa kuwezesha miradi hiyo ambapo wamesema ujenzi huo wa madaraja unakwenda kuwa suluhisho kwa wananchi dhidi ya athari za mafuriko

Hata hivyo wananchi waliojitokeza kumsikiliza mkuu wa Mkoa wameishukuru na kuipongeza Serikali kwa namna ambavyo ina inasaidia kutatua changamoto ya mafuriko kwa kujenga madaraja lakini wamemuomba Mkuu wa Mkoa kusaidia kupata huduma zingine ikiwemo kituo cha polisi eneo la mzinga na shule ya Sekondari

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 17-21 NOVEMBA 2025 MKOA WA DAR ES SALAAM. November 24, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Atembelea Miundombinu iliyohabiriwa na Vurugu za Oktoba 29 Dar.

    November 24, 2025
  • Katibu Tawala DSM Akutana na Wadau toka CRDB.

    November 26, 2025
  • RC Chalamila Akutana na Wadau wa Nishati ya Mafuta Dar

    November 07, 2025
  • RC Chalamila Atangaza Kurejea kwa Huduma Mbalimbali Dar

    November 05, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa