• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

KATIBU TAWALA WA MKOA DSM NDG ABDUL MHINTE AKUTANA NA WATUMISHI WA WILAYA YA TEMEKE NA KIGAMBONI

Posted on: September 11th, 2025

 

-Ataka ubunifu na matumizi ya Teknolojia katika shughuli za ofisini, ukusanyaji wa mapato na utoaji huduma kwa wananchi

-Asisitiza kuibua miradi ambayo inaongeza ajira na kukuza uchumi wa watu.

-Atoa rai kujitokeza kwa wingi kupiga kura za Rais, Wabunge na Madiwani Octoba 29,2025.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndg Abdul Rajab Mhinte kwa nyakati tofauti amekutana na watumishi wa Wilaya ya Temeke na Kigamboni ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kujitambulisha kwa watumishi wa wilaya zote za Mkoa huo.

Katibu Tawala Ndg Mhinte akiongea na watumishi hao leo Septemba 11, 2025 amepongeza kazi nzuri inayofanywa katika ukusanyaji wa mapato kwa kuwa Halmashauri zote mbili Temeke na Kigamboni zimevuka malengo ambapo amewataka kuendelea kuibua vyanzo vipya vya mapato ili ukusanyaji ukuongezeke zaidi.

Aidha amesisitiza matumizi ya teknolojia katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku ofisini ukusanyaji wa mapato na katika kutoa huduma kwa wananchi.

Vilevile amezitaka Halmashauri hizo kubuni miradi ambayo itatoa ajira na kukuza uchumi wa wananchi katika maeneo yao pamoja na kuhakikisha wanasikiliza kero za wananchi kwa lugha za staha na kuzitatua pia kuhakikisha malalamiko ya wananchi yanapatiwa majawabu katika ngazi za chini pasipo kuruhusu malalamiko hayo kuja ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Sanjari na hilo amewataka Kigamboni kutumia vizuri fursa ya Ardhi waliyonayo kwa kuipima kisasa ili kuepuka misongamano na ujenzi holela, pia kwa upande wa Temeke kutumia vizuri fursa zinaotokana na uwepo wa viwanja vikubwa vya mpira kujipatia kipato zaidi.

Pia Ndg Mhinte ametoa rai kwa watumishi wote ndani ya Mkoa huo  na wananchi kujitokeza kwa wingi katika maeneo waliyojiandikishia kupiga kura ya Rais, Wabunge na Madiwani Octoba 29,2025 ili kupata viongozi wa kuwaletea maendeleo

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATIBU TAWALA WA MKOA DSM NDG ABDUL MHINTE AKUTANA NA WATUMISHI WA WILAYA YA TEMEKE NA KIGAMBONI

    September 11, 2025
  • KATIBU TAWALA WA MKOA NDG ABDUL MHINTE ATAKA MAARIFA ZAIDI YATUMIKE KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO DSM

    September 10, 2025
  • Katibu Tawala wa Mkoa na Madaktari wasio na Mipaka Wasaini Makubaliano ya Usaidizi Utoaji Huduma za Dharula.

    September 03, 2025
  • Tukio la kusaini Mkataba wa Makubaliano ya Mashirikiano kati ya Water Aid na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Halmashauri ya Jiji , Kigamboni na Temeke.

    August 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa