• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Mfumo wa Utaratibu wa Masuala ya Usafi wa Mazingira Katika Mkoa wa Dar es Salaam

MFUMO WA UTARATIBU WA MASUALA YA USAFI WA MAZINGIRA KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM.

UTANGULIZI .

Mkoa  wa  Dar es salaam una jumla ya Wilaya tano ambazo ni Ilala, Kinondoni, Kigamboni, Temeke na Ubungo  na Halmashauri sita, Halmashauri ya Jiji na Manispaa za Ilala, Kinondoni ,Kigamboni Temeke na Ubungo.

Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam  zina mifumo tofauti ya uzoaji na ukusanyaji wa taka katika maeneo yao ambapo ; Baadhi ya Halmashauri zinatumia wakandarasi wa uzoaji taka na Halmashauri  nyingine wanatuamia vikundi vya kijamii kwa ajili ya kukusanya na kuzoa taka na kupeleka dampo.

Kwa utaratibu wa kutumia vikundi hauko madhubuti sana kwani taka hazizolewi kwa mujibu wa ratiba ambazo zainajulikana na wananchi , mara nyingi husababisha kero kwa taka kutoondolewa kwa wakati . Mara nyingine husababisha mrundikano wa taka barabarani na kwenye maeneo ya wazi.

Mfumo wa kutumia Makandarasi ya uzoaji taka ambapo mara nyingi wapo katikati ya Jiji; mfumo huu upo madhubuti hasa kwa Makandarasi ambao wanafuta ratiba na  wana uwezo mkubwa wa biashara ya uzoaji wa taka na kupeleka dampo .

Kwa hivi sasa baada ya kufanya tathmini Mkoa umeanzisha Mfumo mpya wa utoaji wa taarifa  ya hali ya usafi wa mazingira kwa kila siku ya Ijumaa ya kila wiki ikionyesha:-

  • Hali ya usafi wa mazingira katika mitaa , kiasi cha  uzalishaji wa taka na asilimia ilipelekwa dampo.
  • Uwezo wa Wakandarasi wa uzoaji wa taka na kiasi cha taka walichokusanya na kupeleka dampo.
  • Idadi ya Wakandarasi wa Uzoaji wa taka na vikundi vya kijamii vilivyopo katika mitaa.
  • Mfumo wa makusanyo wa ada ya taka na utaratibu wa malipo ya Wakandarasi na Watoa huduma ya taka , Kama Magari ya kukodi kupeleka taka dampo .
  • Hali ya dampo na usimamizi wake kwa ujumla taarifa hii tunaipata kwa meneja wa dampo Pugu Kinyamwezi.
  • Madeni ya wakandarasi kwa Halmashauri na hatua walizochukua kulipa madeni husika.
  • Taarifa ya Wakandarasi  wa usafi wa barabara waliongia mkataba na manispaa husika na urefu wa barabara husika .
  • Mkakati wa kipindi cha mvua kwa kuwa dampo huwa ni changamoto kwa magari hayaingii kutokana na ubovu wa barabara na kusababisha taka kujaa hadi getini.

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, UNESCO, WHO,FAO,UNDP Wafanya Usafi Fukwe za Cocobeach

    February 08, 2023
  • RC Makalla Awaaga Viongozi wa Machinga na Bodaboda Wakielekea Rwanda

    February 06, 2023
  • RC Makalla Azindua Kituo cha Mawasiliano Taasisi ya Saratani Ocean Road

    February 04, 2023
  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa