• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Dar es Salaam Kufanya Zoezi la Utoaji wa Chanjo ya Polio Semptemba Mosi

Posted on: August 30th, 2022

- Wito watolewa Kwa Wazazi kuhakikisha watoto wao wanapatiwa Chanjo.

- Walengwa ni watoto Wenye Umri wa Chini ya miaka 5.

- Zaidi ya Watoto laki Tisa wanategemewa kuchanjwa.

Mkoa wa Dar es salaam unataraji kufanya Kampeni ya utoaji wa Chanjo ya matone ya kuzuia ugonjwa wa kupooza ghafla (Polio) ambapo wito umetolewa kwa Wazazi kuhakikisha watoto wao wanapatiwa Chanjo hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Dr. Rashid Mfaume amesema zoezi Hilo litaanza Alhamis ya September 01 mpaka Jumapil ya September 04 ambapo zaidi ya watoto laki Tisa wanatarajiwa kupata Chanjo hiyo.

Aidha Dr. Mfaume amesema tayari timu 2,042 za wataalamu wamejipanga kupita nyumba kwa nyumba kutoa Chanjo ambapo Wananchi wametakiwa kutoa ushirikiano.

Hata hivyo Dr. Mfaume amesema kwa Wazazi ambao watoto wao walishapata Chanjo kipindi Cha hivi karibuni haizuii kupata Chanjo itakayotolewa Sasa kwakuwa itazidi kuimarisha Afya Zaidi.

Chanjo ya polio itatolewa kwa Watoto wa Chini ya miaka 5 ambapo Baada ya mtoto kuchanjwa atapakwa wino maalumu kwenye kidole na nyumba kuwekwa alama ya Tick kwa kutumia chaki kwenye mlango ambapo timu ya Afya Mkoa watafanya ufuatiliaji wa zoezi Hilo katika Halmashauri za Mkoa

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais Dkt Samia Suluhu Kuzindua Kituo cha Uwekezaji Ubungo - EACLC Aug 1,2025

    July 30, 2025
  • Tanzania Mwenyeji Ufunguzi wa "African Nations Championship" CHAN

    July 21, 2025
  • RC Chalamila Akutana na Meya wa Jiji la Dallas-Marekani

    July 21, 2025
  • RC Chalamila Aelekeza Kuundwa Kamati ya Kutatua Mgogoro wa Ardhi Sahara-Mabibo

    July 19, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa