• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Waziri Bashungwa, RC Chalamila Wakagua Barabara Zilizoathiriwa na Mvua- DSM

Posted on: April 29th, 2024

 

-Serikali yatoa ahadi kufanya kila linalowezekana barabara zipitike, mvua zikiisha ujenzi utaanza rasmi

Waziri wa Ujenzi Mhe Innocent Bashungwa akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila na wataalam wengine leo April 29, 2024 amefanya ziara katika maeneo yaliyoathiriwa na mvua katika Wilaya ya Kigamboni na baadae kukagua eneo la Kivuko Magogoni

Mhe Waziri alianza ziara yake katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambapo alipatiwa taarifa fupi ya athari ya mvua katika Mkoa huo kutoka kwa mwenyeji wake Mh Albert Chalamila na Meneja wa TANROAD mkoa huo.

Akiwa katika barabara ya kibada-mwasonga Waziri Bashungwa amekagua barabara hiyo ambayo imeharibiwa na mvua ambapo ametoa kauli ya Serikali kuwa tayari mkandarasi ameshapatikana barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha lami urefu wa Km 51 "wananchi wawe na subra Serikali kwa sasa inafanya ukarabati wa kawaida kurejesha mawasiliano lakini mvua zikiisha tu ujenzi utaanza rasmi" Alisema Waziri Bashungwa

Aidha akiwa katika barabara ya Kigamboni-mwasonga eneo la Magogoni alipata wasaa wa kukagua barabara hiyo na kuongea na wananchi ambapo amewahakikishia kuwa kutakuwa na timu maalum ya kufanya tathimini ya uharibifu wa miundombinu katika Mkoa huu ambayo itaripoti katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa ikimaliza tathimini yake maeneo yote yenye changamoto yatapatiwa ufumbuzi.

Kwa upande wa Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila amesema ukichunguza kwa umakini maeneo yenye mafuriko utaona nyumba zimejengwa katika mikondo ya maji hivyo kuzuia maji kupita ambapo amewataka wataalam kufanya upembuzi yakinifu katika maeneo ambayo njia za asili za maji zimezibwa ili ikilazimu kama kuna Kuta zibomolewe.

Vile vile Waziri Bashungwa amekagua Kivuko eneo la Magogoni  kujionea Changamoto za kivuko hicho na kesho anatarajia kuendelea na ziara yake ikiwa ni siku ya pili katika Mkoa huo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa