• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Watoto wa Mitaani Wamshukuru Rais Samia Kuwezesha Sensa 2022

Posted on: October 12th, 2022

 

-Wampa Tuzo ishara ya shukrani

-RC Makalla amemshukuru Rais Samia Kufanikisha SENSA

-Mkoa wapanga kujenga "Dropping Centre" ya watoto wa mitaani na ombaomba kuwawezesha kusoma na kujiajiri

Watoto hao wa Mitaani au wanaoishi katika Mazingira Magumu wametoa shukrani hizo leo Octoba 12,2022 katika Ukumbi wa Diomond Jubilee wakati wa *Warsha ya watoto wanaoishi katika Mazingira Magumu na Tathimini ya Sensa ya Mkoa wa Dar es Salaam

Aidha wamekabidhi Tuzo maalum ishara ya shukrani kwa kutambuliwa, kuthaminiwa, kupatiwa fursa ya kuhesabiwa wakati wa zoezi la SENSA 2022 na kujumuishwa katika Takwimu ya Taifa lao fursa ambayo hawakuwai kuipata Kipindi cha nyuma.

Sambamba na hilo RC Makalla wakati wa warsha hiyo amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha Zoezi la Sensa ya watu na Makazi kufanyika kwa Utulivu na kisasa zaidi kuliko wakati wowote ambapo Makundi Maalum ambao ni watoto wanaoishi katika Mazingira Magumu wakijumuishwa katika Takwimu ya Taifa.

Pia RC Makalla amesema zoezi la SENSA DSM limefanyika vizuri, amempongeza Kamisaa wa Sensa Tanzania Bara Mhe Anna Makinda , Mratibu wa Sensa katika Mkoa huo na Wananchi kwa Ujumla kwa kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo.

Hata hivyo RC Makalla amepokea Tuzo Maalum ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu kutoka kwa vijana wanaotoka katika Mazingira magumu ikiwa ni shukrani yao kwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameahidi kuwasilisha Tuzo hiyo.

RC Makalla amesema Mkoa una mpango wa kujenga "Dropping Centre" ya watoto wa mitaani na ombaomba ili kuwawezesha kusoma na kujiajiri kwa mfano kama mtoto ana kipaji cha mpira, ufundi, sanaa, hata kusoma ndani ya Kituo hicho atatambuliwa na kuwezeshwa kutokana na kipaji chake tayari RC Makalla ameshamuelekeza Mkurugenzi wa Kigamboni kutenga eneo kwa ajili hiyo

RC Makalla amewataka maafisa Ustawi DSM kufanya Kazi kwa karibu na NGO'S zinazosaidia makundi maalum kama vile James Foundation na kusema tayari ameshamuelekeza Katibu Tawala Mkoa kupitia Risala iliyosomwa na kuanisha mambo yote muhimu kwa ajili ya Utekelezaji mapema iwezekanavyo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa