• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

"Wakandarasi wa Taka DSM Watakiwa Kuzingatia Mambo Matatu" RC Makalla

Posted on: December 1st, 2021

 

- Awataka kufanya kwa dhati majukumu yao ya Usafi

- Kuwa na wafanyakazi wenye uwezo na vitendea kazi vizuri

- Kila mkandarasi awe na Mawasiliano na Mkurugenzi, kwa maana ya namba ya simu ili aweze kutoa taarifa ya hali ya Usafi mfano uwepo wa wafanyabiashara holela katika eneo lake

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Disemba Mosi, 2021 amefanya kikao kazi na Wadau muhimu wa Usafi na Uhifadhi wa Mazingira katika Ukumbi wa Anatoglo Ilala-Dar es Salaam.

Kikao kazi hicho kimelenga kutoa maelekezo kwa wadau hao ambao ni *wakandarasi wa Usafi kutoka katika Manispaa zote za Mkoa wa DSM ili kufanikisha Kampeni kabambe yenye kauli mbiu SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM

Miongoni mwa mambo mengi aliyoelekeza *RC Makalla* amewahakikishia wakandarasi hao kuwa anazifahamu Changamoto zao ikiwemo kuwepo kwa mikataba ya mda mfupi, ulegevu wa ulipaji ada za taka, na kutolipwa kwa wakati na nyingine nyingi lakini kupitia dhamira yake Kuliweka Jiji Safi tayari ameshotoa maelekezo kwa ajili ya Utekelezaji.

RC Makalla amewataka wakandarasi kufanya usafi kweli kweli pasiwepo na Uchafu katika eneo ambalo mkandarasi amekabidhiwa

Mkuu wa Mkoa amesisitiza wakandarasi hao kuwa na wafanyakazi wenye sifa na uwezo wasiwe wazee ambao hawana uwezo wa kufanya kazi pia Kampuni za Usafi ziwe na vifaa vizuri pasiwepo na Magari mabovu au ambayo na yenyewe ni taka.

Aidha RC Makalla amewataka wakandarasi wote kuwa na namba za simu za Wakurugenzi husika ili kuweza kutoa taarifa pale wanapokuta kuna wafanyabiashara holela, watu wanaotiririsha maji na uchafuzi mwingine wowote wa Mazingira ili uweze kudhibitiwa.

" SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM " USAFI UNAANZA NA WEWE.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa