• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Viongozi wa Machinga Taifa Wampongeza RC Makalla kwa Ushirikiano na Machinga

Posted on: February 14th, 2023

 

- Wampongeza kwa Uamuzi ya kuwapeleka Viongozi wa Machinga na Bodaboda Nchini Rwanda kujifunza.

- Wasema anayaishi vizuri maono ya Rais Dkt. Samia.

- Awataka SHIUMA Taifa na Viongozi wa Machinga DSM kushirikiana

Viongozi wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania SHIUMA wamefunga safari mpaka Mkoa wa Dar es salaam kumpongeza Mkuu wa Mkoa huo CPA. Amos Makalla kwa ushirikiano Mkubwa anaowapatia Machinga ikiwemo kuwasafirisha Viongozi wa Machinga na Bodaboda Nchini Rwanda kujifunza na uongozi rafiki kwa kundi la Machinga.

Miongoni mwa Viongozi hao ni pamoja na Mwenyekiti wa SHIUMA Taifa Ndg.Matondo Masanja, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu na Viongozi wa SHIUMA Mkoa wa Dar es salaam.

Akizungumza wakati wa kikao na Viongozi hao, RC Makalla amepokea maombi ya Viongozi wa SHIUMA Taifa ikiwemo Viongozi wa Taifa kupata fursa ya kusafirishwa Nchini Rwanda kujifunza, ombi la Kikao na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na ombi kufanyika Mkutano Mkuu wa Machinga Tanzania kufanyikia Dar es salaam.

Aidha RC Makalla Ameahidi kufanyia kazi ombi la Viongozi hao kukutana na Rais Dkt. Samia ambapo amesema atawasiliana na Mamlaka husika ili kufanikisha jambo Hilo.

Pamoja na hayo RC Makalla ametoa wito kwa Viongozi wa SHIUMA Taifa kufanya kazi kwa pamoja na Viongozi wa SHIUMA Mkoa wa Dar es salaam Ili kwa pamoja waweze kuinua na kushughulikia changamoto za Machinga.

Hata hivyo RC Makalla ameendelea kutoa wito kwa Machinga kuendelea kufanya biashara kwenye Maeneo Rasmi Ili waweze kunufaika na fursa za mikopo ambapo amesema Serikali Itaendelea kushughulikia changamoto zozote zitakazojitokeza.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa