• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Serikali ya Dkt Samia yapiga Hatua Utekelezaji wa Miradi ya Mawasiliano Nchini

Posted on: April 9th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 09, 2024 amedhihirisha kwa vitendo uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia uzinduzi wa kampeni kabambe ya kuelimisha umma kanda ya pwani kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa minara 758 ya Mawasiliano ya maeneo ya vijijini na machache ya mjini.

Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa JNICC Dar es Salaam lakini kampeni hiyo itaendelea katika mikoa yote ya Kanda ya pwani ambapo lengo la kampeni ni kuhakikisha inatolewa elimu kwa viongozi wote wa Mkoa waweze kuisemea vema Serikali katika utekelezaji wa mradi huo kwa wananchi na namna Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza masuala ya mawasiliano bila kubagua mtanzania yoyote.

Aidha RC Chalamila amesema leo mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF umewaita hapa viongozi mnaowawakilisha watanzania katika maeneo yenu mpate elimu ili nanyi mkazisambaze kwa wananchi katika maeneo yenu ya kiutendaji.

Vilevile RC Chalamila amesema mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano wenye thamani ya Bilioni 126 Serikali imeshafanya malipo ya awali fedha kiasi cha Bilioni 64,5357,200 kwa wakandarasi wote.

Mradi huu unalenga kufikisha huduma za mawasiliano ya simu (sauti, intanet/Data) katika Kata 713 ambapo minara 758 itajengwa na makampuni ya simu ikiwemo TTCL, VODACOM, AIRTEL, HALOTEL NA TIGO

Hadi sasa Serikali kupitia UCSAF imeshaingia mikataba na watoa huduma za mawasiliano kufikisha huduma katika Kata 1974 zenye vijiji 5111 kwa kujenga jumla ya minara 2158 ambapo minara hii ikikamilika wananchi takribani 23,798,848 watapata huduma hiyo ya mawasiliano ya simu kwa uhakika.

Mwisho hadi sasa jumla ya Kata 1306 zenye vijiji 3838 na wakazi 16,084,834 wameshafikiwa na huduma ya mawasiliano kwa jumla ya minara 1432 iliyojengwa tayari katika kata hizo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa