• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makonda Aunda Kamati ya Kuwaadabisha Mashoga na Wanaofanya Biashara ya Ngono

Posted on: October 31st, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ameunda kamati ya watu 17 watakaofanya operesheni kabambe ya kuwafundisha adabu watu wanaofanya ushoga, nyumba zinazotumika kurekodi video za Ngono, wanaojiuza na matapeli wa njia ya mitandao.

RC Makonda amesema kamati hiyo inajumuisha maafisa wa Polis, TCRA, Wanasheria, Bodi ya Filamu, Madaktari na Wataalamu wa ushauri na Nasaaha ambapo kamati hiyo itaanza zoezi la kamatakamata jumatatu.

Operesheni hiyo imepokelewa kwa mikono miwili na mamilioni ya wananchi ambao wamekuwa wakichukizwa na mmomonyoko wa maadili ambapo RC Makonda hadi sasa amepokea Meseji (Jumbe) zaidi ya 18,000 za watu wanaopongeza na kutaja majina ya watu wanaofanya matendo maovu ikiwemo ushoga na biashara ya ngono. 

Aidha RC Makonda amesema hadi sasa amepokea majina zaidi ya 200 ya mashoga waliotajwa wakiwemo kina James Delicious, Dida Mtamu, Abas, Aunt Miliki na kundi la Pachupachu.

Pamoja na hayo RC Makonda amesema oparesheni hiyo pia itahusisha sehemu za Masaji ambazo baaadhi yake zimekuwa zikijihusisha na biashara ya ngono.

Hata hivyo RC Makonda amesema kuwa hata wanaume watakaotajwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi (wateja) wa Mashoga watakamatwa na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria kwa mujibu wa Sheria. 

Sanjari na hayo RC Makonda ametoa angalizo kwa watu wenye picha na video za ngono kwenye simu zao kuwa operesheni hii haitowaacha salama. 

 

WAZAZI TUSHIRIKIANE KUPINGA USHOGA NA BIASHARA YA NGONO.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ukatili Kinara Migogoro inayohitaji Msaada wa Kisheria-Waziri Mkuu

    June 16, 2025
  • Wananchi Dar Kunufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia

    June 14, 2025
  • RC Chalamila, Samia Legal Aid Kuzinduliwa Juni 16, 2025 DSM

    June 13, 2025
  • Wataalam Kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Wakutana na Kamati ya Usalama ya Mkoa-DSM

    June 11, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa