• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA ZOEZI LA UTOAJI KINGA TIBA

Posted on: November 27th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa PAUL MAKONDA Leo amefungua mkutano wa zoezi la utoaji wa Kingatiba (Dawa za Matende, Mabusha na Minyoo ya tumbo) kwa Mkoa wa Dar es Salaam litakalo fanyika kesho kimkoa katika Manispaa ya Kigamboni.

Mkutano huo uliohudhuriwa na Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Sehemu na Vitengo kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makatibu tawala wa wilaya, Wakurugenzi, Timu ya afya ya Mkoa , Waganga Wakuu wa Hospitali za Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam, Maofisa mbalimbali wa Serikali katika Ngazi ya Mkoa, Wilaya na Wizara ya Afya.

Awali Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Grace Magembe alieleza kuwa zoezi hili hufanyika kila mwaka ambapo wananchi hupewa kinga tiba dhidi ya magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele.

Alieleza kuwa wakufunzi wote walishapewa mafunzo kuanzia tarehe 20-25/11/2017 ya uhamasishaji wa watu kunywa dawa kuanzia katika Halmashauri zetu zote. Hata hivyo huduma hii imepanuka Zaidi ambapo itafika mpaka kwenye Vituo vya mabasi, Masoko, Ofisi za Serikali, Ofisi za Kata, Wizara na Taasisi zote za Umma.

Mheshimiwa PAUL MAKONDA amesema kuwa mkakati wa utoaji wa kinga tiba unaofanyika kila mwaka ni wa muhimu sana kwani magonjwa hayo yalikuwa yamesahaulika lakini yanasababisha athari kubwa katika jamii yetu.

Amesema Juhudi na Ubunifu usaidie sana katika kuwapatia wananchi wengi kuweza kupata dawa. Aidha dawa hizo zitawasaidia katika kujikinga dhidi ya magongwa hayo. “Dawa hizi ni Safi na Salama kwa matumizi” Alisisitiza RC MAKONDA.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa