• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla: Wezi wa Mafuta Bandarini Kukiona.

Posted on: August 20th, 2021

-Kamati ya Uchunguzi imekamilisha kazi na Ripoti kukabidhiwa Mamlaka za Juu

-Aipongeza Mamlaka ya  Bandari  kutekeleza Maagizo ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa kwa kununua kifaa Cha kubaini wote watakaochepusha mafuta kutoka Bomba kuu

-Awataka wote waliojiunganishia mabomba kutoka Bomba  kuu Kujisalimisha

Mhe Makalla akiongea na waandishi wa habari leo allipo zuru katika eneo la "Flow Meter"  Bandari ya Dar es Salaam (TPA)


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla ametembelea Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) leo Agosti 20, 2021 na kukuta utekelezwaji Mkubwa wa Maagizo yaliyotolewa na Kamati ya Mkoa ya Ulinzi na Usalama (KUU) Ili kuboresha huduma zinazotolewa Bandarini hapo.

Akiwa Bandarini hapo Mhe. Makalla ameeleza kuwa Kamati ya Uchunguzi wa wizi wa Mafuta imekamilisha kazi na Ripoti kukabidhiwa Mamlaka za Juu.

Aidha, Mkuu wa Mkoa ametumia nafasi hiyo kuipongeza Mamlaka ya Bandari kwa kutekeleza Maagizo ya Kamati ya Mkoa ya Ulinzi na Usalama (KUU) iliyowataka kununua kifaa cha kubaini wezi wanaochepusha mafuta kutoka Bomba kuu ambapo alifanya ukaguzi wa kifaa hicho Ili kujionea ubora na ufanisi wa kifaa hicho.

Wakati huo huo Mhe. Makalla amewataka wale wote waliojiunganishia mabomba katika Bomba Kuu Kujisalimisha Mara moja.

Sambamba na hilo Mkuu wa Mkoa amekagua Ukarabati na Ujenzi wa Barabara za kuingia na kutoka Bandari ambapo amekuta Ujenzi unaendelea na kumuagiza Mhandisi wa mradi huo kuukamilisha kwa viwango, kwa wakati na kuzingatia thamani ya fedha ,Value for money 

Vilevile amekagua Gati namba Sifuri (0) ambapo amejionea maboresho ya kuongezwa kwa kina chake na upanuzi.

Mhe. Mkuu wa Mkoa amewahakikishia  watumiaji wote wa Bandari ya Dar es Salaam kuwa  MWAROBAINI wa CHANGAMOTO zilizokuwa zinaikabiri Bandari hiyo umepatikana.













ReplyForward






Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa