• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: WAHANGA WA SOKO LA KARIAKOO KUPEWA KIPAUMBELE SOKO LIKIKAMILIKA

Posted on: December 1st, 2022

- Asema Maelekezo ya  Rais Dkt Samia Suluhu  kipaumbele ni wahanga kwanza soko likikamilika

-Awatoa hofu wafanyabishara asema Soko jipya litakuwa na uwezo wa kubeba wafanyabishara zaidi ya 4000 ukilinganisha na awali.

-Awahakikishia wafanyabishara Soko litakamilika Octoba, 2023 kwa viwango na Ubora zaidi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo ametembelea Soko la Kariakoo na kufanya mkutano wa hadhara na wafanyabishara wa Soko kubwa na dogo katika eneo la nje ya Soko hilo Ilala Jijini Dar es Salaam.

RC Makalla amesema WAHANGA wa Soko watapewa kipaumbele Soko likikamilika, watu waache upotoshwaji hakuna maombi mengine, waingie kwanza wenye Soko lao ambao walikuwepo toka mwanzo, na " hayo ni maelekezo ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mara soko likikamilika wahanga ni namba moja" alisisitiza RC Makalla

Aidha RC Makalla amewatoa hofu wafanyabishara akisema awali soko hilo lilikuwa na uwezo wa kubeba wafanyabishara 2000 tu sasa likikamilika litaweza kubeba *wafanyabishara zaidi ya 4000 hivyo ni fursa pia kwa wafanyabishara wengine wakiwemo wamachinga.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa amesema Ukarabati na Ujenzi wa Soko umefikia asilimia 52 mkandarasi anaenda na muda vizuri uwezekano wa kukamilisha mradi mapema ni mkubwa zaidi lakini ifikapo Octoba, 2023 Soko litakuwa limekamilika

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa