• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Serikali ya Awamu ya Sita Itaendelea Kuweka Mazingira Mazuri ya Uwekezaji na Biashara

Posted on: January 10th, 2023

 

- Ampongeza Rais Dkt. Samia kwa kuweka mazingira Bora ya ufanyaji Biashara

- Awashukuru Wafanyabiashara kwa kulipa Kodi, zaidi ya shilingi trilioni 10 zimekusanywa na TRA Mkoa wa Dar es salaam

- Awahakikishia Ulinzi na usalama.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewahakikishia Wafanyabiashara na wawekezaji kuwa Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuweka mazingira Bora ya biashara pamoja na kutatua changamoto za Wafanyabiashara.

RC Makalla amesema hayo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Biashara Mkoani humo lenye lengo la kusikiliza changamoto za Wafanyabiashara na kuweka mikakati ya endelevu ya utatuzi wa changamoto za kibiasha zitakazowasilishwa.

Katika kikao hicho RC Makalla amewashukuru Wafanyabiashara na wawekezaji kwa kuvunja rekodi ya makusanyo makubwa ya Kodi Halali ambapo zaidi ya shilingi trilioni 10 zilikusanywa na TRA kwenye Mkoa huo.

Aidha RC Makalla amewahakikishia Ulinzi na usalama Wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kukomesha matukio yote ya uhalifu ikiwemo vibaka, panya road na majambazi.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema Serikali ya Mkoa huo ipo hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa one stop center ya Biashara itakayokwenda kumaliza tatizo la urasimu.

Kuhusu suala la Kariakoo kufanya biashara saa 24, RC Makalla amesema Serikali ipo hatua za mwisho kukamilisha mchakato huo.

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 29 DISEMBA - 02JANUARI 2026 MKOA WA DSM January 05, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Afika 'Site' Block D, Kunduchi Kutatua Mgogoro wa Nyumba ya Mama Mjane

    January 07, 2026
  • Naibu Waziri wa Nchi OWM-TAMISEMI Mhe Kwagilwa Ahitimisha Ziara ya Kikazi Dar

    January 03, 2026
  • RC Chalamila " Tuendelee Kudumisha Amani Tunaposherekea Sikukuu ya Mwaka Mpya 2026"

    December 31, 2025
  • Dkt Mwigulu Nchemba Aunga Mkono Ujenzi wa Kituo cha Daladala Bunju B

    December 29, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa