• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla- Royal Tour Tunaiunga Mkono kwa Kuweka Jiji Safi ili Kuvutia Watalii na Wawekezaji

Posted on: April 30th, 2022

 

- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuitangaza Tanzania.

- Awahamasisha  Wananchi kuipendezesha Dar es Salaam ili kuvutia watalii Na wawekezaji.

- Amesema kwa Sasa mkoa wa Dar es Salaam unapendeza.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameongoza Wananchi wa Wilaya ya Ilala kwenye zoezi la Usafi wa pamoja eneo la Buguruni ambapo amesema Filamu ya Royal Tour iliyozinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan imekuja wakati muafaka ambapo mazingira ya Dar es salaam ni safi na yanavutia Watalii na Wawekezaji.

Akizungumza wakati wa Usafi wa pamoja ikiwa ni mkakati wa Mkoa kufanya Usafi kila Jumamos ya mwisho wa Mwezi, RC Makalla amempongeza Rais Samia kwa kuitangaza anzania kimataifa jambo linalovutia Watalii.

Aidha RC Makalla amesema lengo Mkoa huo ni kufanya Kampeni ya Usafi kuwa endelevu ili kushika nafasi za juu kwenye majiji yanayoongoza kwa Usafi Barani Africa ambapo kupitia Kampeni ya SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM imewezesha Jijia Dar es salaam kushika nafasi ya sita kwa Usafi Africa.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema Serikali kupitia TANROAD imeridhia ombi la Kiwanda Cha Azam Bakhresa kwa kuwaruhusu kupendezesha eneo la mbele la Kiwanda kwa kupanda bustani ya kisasa na kuweka minyororo ili kuzuia Ufanyaji biashara holela uliokuwa umeshamiri kwenye eneo Hilo.

Hata hivyo RC Makalla amepokea msaada wa Vifaa vya Usafi kutoka Wadau wa Usafi walioamua kumuunga mkono kwenye Kampeni ya SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa