• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Rais Samia Ameagiza Kuanza Mchakato wa Kariakoo Kufanya Biashara Saa 24

Posted on: August 9th, 2022

 

-Asema ni Kutokana na ongezeko la Biashara katika Jiji la Dar es Salaam

-Afafanua DSM imetajwa kuwa Mega City kutokana na Ongezeko kubwa la Idadi ya watu

-Wafanyabiashara wapokea Maelekezo kwa furaha, wapongeza ujenzi wa kisasa unaendelea Soko la Kariakoo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo  Agosti 9,2022 ametembelea na kukagua maendeleo ya ukarabati na Ujenzi wa Soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Akiongea na Wafanyabishara wa Kariakoo RC Makalla amesema Mhe Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanza mchakato wa Karikaoo kufanya Biashara masaa 24 kutona na Ongezeko kubwa la Biashara katika Jiji la Dar es Salaam ili kuwarahusishia wafanyabishara fursa zaidi za Kibiashara.

Aidha RC Makalla amebainisha kuwa Jiji la Dar es Salaam limetajwa kuwa Mega City kutokana na Ongezeko la Idadi ya watu kila kikicha ni dhahiri kuna umuhimu wa eneo la Kariakoo na mitaa yake ikaboreshwa kwa *kuweka mataa, na Camera ili biashara zifanyike masaa 24 hiyo itapanua fursa zaidi za Kibiashara ndani na Nje.

Vilevile RC Makalla ameridhishwa na maendeleo ya ukarabati na Ujenzi wa Soko la Kariakoo huku akimpongeza kujengwa kwa vizimba vya Kisasa, pia kuwepo kwa mifumo mizuri ya taadhari za majanga ya moto na mkandarasi yuko ndani ya muda

Kwa Upande wa Wananchi na Wafanyabishara katika Soko hilo wamefurahishwa na maamuzi mazuri ya Serikali ya Ujenzi na Ukarabati wa Soko hilo pia uamuzi wa *kuruhusu biashara kufanyika masaa 24 ni jambo jema sana kwa mslahi mapana ya wafanyabishara na Wananchi kwa ujumla likini pia ni fursa ya kukuza Uchumi wa DSM na Taifa.

Ifahamike kuwa ukarabati wa Soko la Kariakoo kupitia Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tayari imehidhinisha Tsh Bilioni 28 kwa ajili ya kazi hiyo RC Makalla amemhakikishia Mkandarasi Pesa ipo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ukatili Kinara Migogoro inayohitaji Msaada wa Kisheria-Waziri Mkuu

    June 16, 2025
  • Wananchi Dar Kunufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia

    June 14, 2025
  • RC Chalamila, Samia Legal Aid Kuzinduliwa Juni 16, 2025 DSM

    June 13, 2025
  • Wataalam Kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Wakutana na Kamati ya Usalama ya Mkoa-DSM

    June 11, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa