• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla: Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni Kielelezo cha Muungano

Posted on: April 26th, 2023

 

RC Makalla Kulia akiteta jambo na Katibu Tawala wa Mkoa Bi Rehema Madenge kushoto wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Miaka 59 ya Mungano katika Viwanja ya Zakhem-Temeke


- Asema Muungano wa Tanzania ni wa mfano duniani, haujawahi kuterereka Na chini ya Rais Dkt, Samia utaendelea kuimarika

- Aeleza mafanikio lukuki ya muungano ikiwemo miradi mikubwa ya maendeleo

- Asema Rais Samia amekusidia mwendokasi ifike mpaka Vikindu, fedha Bilioni 9 kujenga Hospitali Mbagala kuu

- Awataka Wananchi kuenzi Na kulinda muungano

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam CPA, Amos Makalla leo ameongoza Wananchi wa Mkoa wa huo kwenye sherehe za Maadhimisho ya Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo ametoa wito kwa Wananchi kusimama na Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan kuuenzi na kudumusha Muungano.

Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika Uwanja wa Zakhem Mbagala, RC Makalla amempongeza Rais Dkt, Samia kwa kuwa kielelezo kuzuri Cha Muungano ambapo amesema ndani ya Miaka 59 yapo Maendeleo na Mafanikio Makubwa yaliyofanyika.

Aidha RC Makalla ametumia maadhimisho hayo kumuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Temeke na Meya wa manispaa hiyo kuhakikisha ujenzi wa Stendi ya kisasa ya mabasi ya Kusini unafanyika ambapo pia amesema Rais Dkt, Samia ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 9 kwaajili ya ujenzi wa Kituo Cha Afya Mbagala Kuu.

Kuhusu suala la kero za Muungano, RC Makalla amempongeza Rais Dkt, Samia kwa kuendelea kuzishughulikia mpaka Sasa zimebaki kero nne pekee.

Hata hivyo RC Makalla amesema maadhimisho hayo kiomkoa yanaenda sambamba na Uzinduzi na uwekezaji wa mawe ya msingi kwenye Miradi mbalimbali ya Maendeleo yenye thamani ya Zaidi ya Shilingi bilioni 23 mpaka April 29.

Maadhimisho ya Miaka 59 ya Muungano yameenda sambamba na kauli mbiu isemayo "Umoja na Mshikamano ndio nguzo ya kukuza uchumi wetu."

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa