• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: RAIS DKT. SAMIA AMEDHAMIRIA KUMALIZA TATIZO LA UHABA WA VYUMBA VYA MADARASA DSM

Posted on: December 12th, 2022

 - Amepongeza Rais Dkt. Samia  kutoa fedha bilioni 12 kujenga vyumba vya madarsa kuhakikisha kila Mwanafunzi anasoma.- Asema hakuna Mwanafunzi kuanzia Shule ya Awali, Msingi na Sekondari atakaekosa nafasi ya masomo
- Wazazi watakiwa kusimamia watoto wao waende Shule.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema hakuna Mwanafunzi kuanzia Shule ya Awali, Msingi Wala Sekondari Mkoani humo atakaeshindwa kwenda Shule kwa kigezo Cha uhaba wa Madarasa au Madawati Baada ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoa Zaidi ya Shilingi Bilioni 12.3 za Ujenzi wa Madarasa.
RC Makalla amesema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi wa Maendeleo ya Ujenzi wa Madarasa Kwenye Shule ya Sekondari Misitu, Kerezange na Liwiti Wilaya ya Ilala ambapo ameshuhudia Ujenzi wa Madarasa yakiwa kwenye hatua nzuri.
Katika ziara hiyo, RC Makalla amepokea taarifa ya mwenendo wa Ujenzi kwa Wilaya ya Ilala ambapo jumla ya Shilingi Bilioni 6.2 zilitolewa kwaajili ya Madarasa 310 ya magorofa na Mtawanyiko kwenye Shule 34.
Ili kuhakikisha dhamira njema ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inatimia, RC Makalla ameelekeza watendaji wote kuhakikisha Ajenda ya ukamilishaji wa Madarasa inapewa kipaombele ili kabla ya Mwezi January Madarasa yawe tayari na wanafunzi wasome.
Kwa mujibu wa Halmashauri ya Ilala makadirio ya wanafunzi watakaoanza masomo January mwakani kwa *Shule za Awali ni 5,700, Msingi 25,400 na kidato Cha kwanza 30,500.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa