• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla ni Kiungo Mahiri Timu ya Viongozi wa Dini DSM

Posted on: September 1st, 2021

- Acheza namba '8' timu ya viongozi wa dini dhidi ya wachambuzi wa habari za michezo

- Asema yeye ni kiongozi lazima awe mstari wa mbele, anachokifanya anamaanisha

- Asisitiza watu kufanya mazoezi na kuchanja chanjo ya UVIKO-19

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Septemba mosi ameonyesha ubora wake katika kusakata kabumbu akiwa kiungo hatari wa timu ya Viongozi wa Dini dhidi ya wachambuzi wa habari za michezo* mechi ambayo imechezwa katika uwanja wa Azam Chamazi na kupelekea kutoka sare ya bao tatu kwa tatu ( 3 - 3).

Akiongea uwanjani hapo Mkuu wa Mkoa amesema michezo ni afya, michezo ni ajira mechi ya leo imekuwa nzuri na hao tulio cheza nao leo tunataka mtanange urudiwe tena.

Aidha akafafanua lengo la mtanange huo ni kuhamasisha wananchi hususani wa Mkoa wa Dar es Salaam kutumia fursa ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19.

" Leo mchezo umekuwa na mafanikio makubwa watu wengi wamejitokeza kuchanja toka saa tisa na lengo la mtanange huu ni kuhamasisha jamii kutumia fursa hii ya chanjo, niendelee kutoa rai watu wachanje kama Rais wetu *Mhe Samia Suluhu Hassan* amechanja na mimi na viongozi wenzangu Mkoani tumechanja unasubiri nini" Alisema Mhe Makalla

Aidha Mhe Makalla abainisha kuwa yeye ni muumini wa mazoezi na ndio maana amecheza dakika zote bila kuchoka, hivyo ukiwa kiongozi unapaswa kuwa mstari wa mbele na siku zote kile anachokiongea anamaanisha na leo mmekuwa mashuhuda.

Mtanange huo ulikuwa wa kuvutia huko ukishuhudiwa na waziri wa Afya Mhe Dorothy  Gwajima na Waziri wa  Habari Mhe Innocent Bashugwa na watu wengine maarufu.

Mhe Amos Makalla anaendelea kuhimiza wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuendelea kufanya mazoezi kwa kuwa ni Afua mojawapo ya Kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19 na magonjwa mengine nyemelezi.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa