• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Mzazi Mwenye Mtoto Panya Road Akamtafute Mwanae Kituo Cha Polisi Au Hospitali

Posted on: September 15th, 2022

 

-Atangaza Kukamatwa Watuhumiwa wengi Kwenye Operesheni Matukio ya Tabata, Kawe na Mizimuni

-Asema Watuhumiwa Wengi ni waliotoka Magerezani na Kumaliza Vifungo

-Awahakikishia Wananchi Ulinzi Umeimarishwa Askari 300 Wameongezwa

- Ataka Ulinzi Shirikishi kila Mtaa, kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi

-Wananchi waombwa taarifa za Kusaidia Operesheni na Sio Upotoshwaji na Kuzusha hofu

RC Makalla amesema Mazazi mwenye mtoto Panya Road kuanzia leo Septemba 15, 2022 asipomuona nyumbani asihangaike  akamtafute mwanae Kituo cha Polisi au Hospitali

RC Makalla ameyasema haya mapema leo katika Mkutano wa hadhara na Wananchi wa Kata ya Zingiziwa Chanika Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam.

Mhe Makalla ametangaza Kukamatwa kwa Watuhumiwa Wengi *kwenye Operesheni katika Matukio ya Tabata, Kawe na Mizumuni ambapo amesema Watuhumiwa wengi ni wale waliotoka magerezani na kumaliza vifungo hivyo ametoa rai na ana imani na mahakama kuwa itatenda haki wale ambao makosa yao yana rudia rudia hukumu yao iwe kali zaidi

Aidha RC Makalla amewahakikishia wananchi wa DSM kuimarika kwa Ulinzi Askari 300 Wameongezwa kushughulika na Panya Road wananchi wasiwe na hofu waendelee na shughuli zao za kujiletea maendeleo

Vilevile Mhe Makalla ametaka Ulinzi Shirikishi kila Mtaa kwa kushirikiana na Polisi na tayari Wakuu wa Wilaya wote DSM wanamaelekezo ya kusimamia jambo hilo kwa weledi mkubwa.

Sambamba na hilo RC Makalla ametoa Rai kwa wananchi kutoa taarifa za Kusaidia Operesheni na Sio Upotoshwaji na Kuzusha hofu huku akiwataka wananchi kutumia mitandao ya kijamii vizuri

" Tusitumie mitandao kutengeneza hofu na Wananchi wetu kukaa kwa wasiwasi, Taarifa ni muhimu sana lakini ziwe taarifa zenye uhakika " Amesisitiza RC Makalla

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa