• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

Posted on: March 11th, 2023

 

Baadhi ya wamachinga wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa CPA Amos Makalla

Mwenyekiti wa Mchinga DSM Ndg Yusuph Namoto akiongea wakati wa kongamano hilo katika ukumbi wa PTA Sabasaba Jijini Dar es salaam


- Machinga DSM wamtunuku Tuzo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uongozi mahiri na kuwajali machinga.

- Atoa maagizo 6 kwa Wakuu Wilaya kuhusiana Na kuboresha masoko Na utatuzi wa kero Za machinga.

Mkuu wa Mkoa Wa Dar es salaam na mlezi wa Machinga CPA, Amos Makalla akizungumza na maelfu ya Machinga kwenye Kongamano lililofanyika Ukumbi wa PTA Sabasaba amewahakikishia Wafanyabiashara hao kuwa Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Itaendelea kulea na kulinda kundi Hilo ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira yao.

Akizungumza wakati wa Kongamano hilo RC Makalla amewaelekeza Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na maafisa Biashara kuhakikisha Kila Soko linakuwa na Maji na vyoo na kuwataka kufanyika vikao vya mara kwa mara Ili kujua changamoto zao.

Aidha RC Makalla amewaelekeza LATRA kuhakikisha wanaweka route za Daladala kwenye Kila soko Ili kuchagiza na kuchochea Biashara.

RC Makalla pia ametumia Kongamano hilo kuelekeza Halmashauri zote kuhakikisha ujenzi wowote wa masoko unashirikisha pia mawazo ya Viongozi wa Machinga wa eneo husika ili kuepuka tatizo la ujenzi wa masoko ambayo sio rafiki kwa Biashara

Kuhusu hatma ya Wafanyabiashara Soko la Kariakoo walioondolewa kupisha ujenzi, RC Makalla amesema Soko likikamilika kipaombele Cha kwanza kitakuwa kwa wazawa waliokuwepo na kueleza kuwa mwelekeo baada ya Soko kukamilika ni Biashara saa 24.

Pamoja na hayo RC Makalla amewaelekeza Wakurugenzi kuhakikisha kipaombele Cha Mikopo ya asilimia 10 inatolewa kwa wanaofanya shughuli za Machinga.

Hata hivyo RC Makalla ametoa Wito kwa taasisi za Bank kuwafikia Machinga na kuendelea kutoa mikopo rafiki kwa Wafanyabiashara

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • RC Makalla Atimiza ahadi ya Kuwapeleka Viongozi wa Machinga Taifa Kigali Rwanda

    March 10, 2023
  • RC Makalla Hakuna Fremu Soko la Kariakoo Zilizogawiwa Epukeni Matapeli

    March 26, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa