• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: KUKOSEKANA KWA MVUA ZA VULI CHANZO CHA MGAO WA MAJI DAR ES SALAAM

Posted on: October 25th, 2022

 

- Ashuhudia kushuka kwa kina Cha maji Ruvu juu na Chini.

- Uwezo wa uzalishaji wa maji umeshuka kutoka Lita Milioni 466 mpaka Lita Milioni 300.

- Awataka Wananchi Kumuomba Mungu mvua zinyeshe na kutumia Vizuri kiasi Cha maji yaliyopo.

- Aagiza Kukamilika kwa visima vya Maji Kigamboni kuongeza Upatikanaji wa maji Kigamboni na katikati ya mji.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema tatizo la mgao wa maji jijini humo kwa Sasa ni matokeo ya kiangazi kilichosababishwa na kukosekana kwa mvua za Vuli jambo lililopelekea kushuka kwa kina Cha maji kwenye vyanzo vya Maji Ruvu juu na Chini.

RC Makalla amesema hayo wakati wa ziara ya Kamati ya Ulinzi na usalama kwenye vyanzo vya Maji Ruvu juu na Chini ambapo ameshuhudia kina Cha maji kikiwa kimeshuka kutoka uwezo wa kuzalisha Lita Milioni 466 mpaka Lita Milioni 300 sawa na Asilimia 64.

Kutokana na Changamoto hiyo RC Makalla ametoa wito kwa Wananchi kutumia Vizuri kiasi Cha maji yanayopatikana na kufanya Maombi ili mvua za Vuli zinyeshe.

Aidha RC Makalla amesema Kamati za Ulinzi na usalama Mikoa ya Dar es salaam, Pwani na Morogoro zilishatekeleza wajibi wa kudhibiti uchepushaji wa maji hivyo uhaba wa maji hauhusiani na Uzembe wa Aina yoyote.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema kukamilika kwa Visima vya Maji Kigamboni mwishoni mwa mwezi huu itasaidia Upatikanaji wa Lita Milioni 70 ambazo zitasaidia kupunguza makali kwa Wakazi wa Kigamboni na maeneo ya katikati ya mji.

Itakumbukwa Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania TMA ilishatoa taadhari ya uwepo wa kiangazi Kutokana na kuchelewa kwa mvua za Vuli jambo lililopelekea kushuka kwa kina Cha maji kwenye vyanzo vya Maji Ruvu juu na Chini.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa