• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Kampeni ya Kupima Afya Bure Imekuwa na Mafanikio Makubwa

Posted on: June 13th, 2022

 

- Awataka wananchi kuanza matibabu kwa wale waliogundulika Na magonjwa yasiyoambukiza

- Awashukuru Clouds Media group, Madaktari Na wadau wengine waliofanikisha kampeni ya Afya chek.

- Aelekeza Uwepo wa Hospitali tembezi Kwa madaktari bingwa katika kila wilaya.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo Juni 13 amehitimisha zoezi la siku kumi za upimaji Afya Bure ambapo mpaka kufikia siku ya Jana Juni 12 zaidi ya Wananchi 7,030 walihudumiwa na madaktari bingwa na wabobezi kutoka Hospital kubwa za Mkoa huo.

Akihitimisha zoezi Hilo RC Makalla amesema zoezi Hilo limekuwa na mafanikio makubwa ambapo Kati ya Wananchi 7,030 waliohudumiwa, Wananchi 1,522 walipima Shinikizo la Damu, 247 Kisukari, 808 walipimwa tatizo la moyo, uchangiaji wa Damu unit 203, kipimo Cha ultrasound 1,726 , 189 tezi dume, 949 walipata Chanjo ya COVID-19, 601 walipima Saratani ya shingo ya kizazi, 1,369 walipima tatizo la meno na macho Wananchi 1,673.

Kutokana na mwamko kuwa mkubwa, RC Makalla amemuelekeza Katibu Tawala wa Mkoa huo kuanzisha huduma ya Hospital inayotembea Mobile hospital kwa kutumia gari maalumu litakalokuwa limesheheni madaktari bingwa.

Aidha RC Makalla ametumia zoezi Hilo kutoa wito kwa Wananchi kujiwekea utaratibu wa Upimaji Afya Mara kwa mara Kutokana na takwimu kuonyesha Wananchi wengi waliogundulika kuwa na matatizo ya Afya hawakuwa na wakitambua.

Hata hivyo RC Makalla amewasisitiza Wananchi kufanya mazoezi ili kujiepusha na hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukizwa ikiwemo Kisukari, Shinikizo la Damu, Saratani na magonjwa mengineyo.

Pamoja na hayo RC Makalla amewashukuru Wadau waliofanikisha zoezi Hilo wakiwemo Clouds Media group kupitia kipindi Cha  Afya Check ambao ndio waratibu wa zoezi Hilo

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa