• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Hakuna Fremu Soko la Kariakoo Zilizogawiwa Epukeni Matapeli

Posted on: March 26th, 2023

 

- Amesema utaratibu wa ugawaji utakuwa wa wazi, kipaumbele ni kwa wafanyabishara wa mwazo

-Atoa pongezi kwa NHC na mkandarasi kwa kasi ya Ujenzi huo

-Amshukuru Rais Dkt Samia kwa kuidhinisha pesa za Ujenzi wa Soko hilo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makalla leo Machi 9, 2023 ametembelea na kukagua maendeleo ya Ujenzi na Ukarabati wa Soko la karikaoo ambapo hadi kufikia sasa Ujenzi wa Soko jipya uko 65% na Ukarabati wa Soko la zamani uko 85%

CPA Makalla akiongea na vyombo vya habari Sokoni hapo ametoa rai kwa Wananchi kuepuka matapeli wanaowalaghai kuwa fremu za Soko hilo zimeanza kugawiwa ukweli ni kwamba fremu bado hazijagawiwa mradi ukikamilika utaratibu wa ugawaji utakuwa wazi kwa Wananchi wote.

Aidha CPA Makalla amempongeza msimamizi wa mradi ambaye ni Shirika la Nyumba la Taifa kwa usimamizi mzuri na mkandarasi anayejenga Soko hilo kutokana na kasi yake ambayo *inaleta matumaini ya kukamilisha Ujenzi kabla ya muda ulioko kwenye Mkataba.

Vilevile CPA Makalla amesema Soko limejengwa kisasa, tahadhari zote zimechukuliwa ikiwemo tahadhari dhidi ya majanga ya moto pia Soko litakuwa na uwezo wa kuchukua wafanyabishara wengi zaidi kuliko ilivyokua huko nyuma.

Mhe CPA Amos Makalla amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha pesa nyingi za kukamilisha mradi huo, pesa zinakuja kwa wakati hakuna shida ya pesa ambapo amesema Soko litakapo kamilika wafanyabishara watafanya biashara masaa 24 mifumo ya Usalama itaimarishwa


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa