• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Benk ya Afrika Kushirikiana na Serikali Kujenga Masoko ya Kisasa ya Machinga

Posted on: June 27th, 2022

 

- Ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Rais Samia kuboresha mazingira ya Machinga.

- Awaelekeza Wakuu wa Wilaya/ Wakurugenzi kuweka Mkazo jambo HiloMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amefanya kikao baina ya Bank ya Maendeleo ya Africa ADB na Viongozi wa Mkoa wa Dar es salaam, Dodoma, Wizara ya Fedha, TAMISEMI na TANROAD kujadili ofa iliyotolewa na Bank hiyo ya Ujenzi wa Masoko ya kisasa kwaajili ya Machinga kwenye Wilaya zote tano za Mkoa huo.

Akizungumza wakati wa kikao hicho kilichofanyika ofisi ya Mkuu wa Mkoa, RC Makalla amesema Bank hiyo imeamua kushirikiana na Serikali ya awamu ya sita kuboresha mazingira ya Machinga walioamua kuitikia wito wa Serikali kufanya biashara kwenye maeneo waliyopangwa.

Ili kufanikisha Mpango huo unaokwenda kuchochea biashara, RC Makalla amewaelekeza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kumkabidhi taarifa kamili inayoainisha Wapi Masoko hayo yajengwe, Michoro na Gharama halisi kabla ya ijumaa ili awasilishe kwa Bank hiyo kwaajili ya utekelezaji.

Pamoja na hayo RC Makalla amewaelekeza TANROAD, TARURA, DAWASA, TANESCO, LATRA kuhakikisha kuanza maandalizi ya kuhakikisha Maeneo yanapojengwa Masoko hayo yanakuwa na huduma zote muhimu ili kuchochea biashara.

Kwa upande wake Meneja Wa Bank ya maendeleo Afrika tawi la Tanzania Patricia Laverley amesema kuwa Bank hiyo ipo tayari kutekeleza Ujenzi wa Masoko hayo kwakuwa wameguswa na jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha Wafanyabiashara wanaendesha biashara kwenye maeneo sahihi na Bora.




Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa