• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Azindua Kampeni ya Upimaji Afya Bure DSM

Posted on: June 3rd, 2022

 

RC Makalla akipima Urefu na Uzito kuashiria uzinduzi wa Kampeni ya Kupima Afya Bure katika Mkoa wa Dar es Salaam leo katika viwanja vya Tanganyika Packers.


RC Amos Makalla akipima presha mapema leo wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Afya Check


- Wananchi wafurika Viwanja vya Tanganyika Packers kupima Afya

- Atoa ratiba ya zoezi la upimaji kila Wilaya.

- Awahimiza Wananchi kuchangamkia Fursa ya Upimaji.

- Zaidi ya Wananchi 15,000 kufikiwa na Zoezi hilo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Amos Makalla leo Juni 03 amezindua zoezi la Upimaji Afya Bure ambalo litafanyika kwa muda wa siku 10 ambapo Wakazi wa Mkoa huo watapata Fursa ya kupima magonjwa Bure Chini ya madaktari bingwa na wabobezi.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Viwanja vya Tanganyika Packers kwa Wilaya ya Kinondoni, RC Makalla amesema lengo la Kampeni ni kuwafikia zaidi ya Wananchi 15,000.

Aidha RC Makalla amesema kwa Wilaya ya Kinondoni zoezi litafanyika Leo na kesho Viwanja vya Tanganyika Packers Kisha kuhamia, Wilaya ya Temeke Juni 05  na 06 Viwanja vya Mwembeyanga*, Wilaya ya Kigamboni Juni 07 na 08 Viwanja vya Mjimwema, Wilaya ya Ubungo Juni 09 Hadi Juni 10 Viwanja vya Barafu na kuhitimishwa Wilaya ya Ilala Juni 11 mpaka Juni 12 Viwanja vya mnazi mmoja.

Hata hivyo RC Makalla amesema katika zoezi Hilo jopo la madaktari bingwa kutoka Hospital mbalimbali watahudumu zikiwemo Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Ocean Road, Taasisi ya mifupa MOI, Hospital ya Taifa Muhimbili, Agakhan, Chama Cha madaktari, Saifee, Hospital binafsi na Hospital za Halmashauri.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema miongoni mwa huduma zitakazotolewa ni upimaji magonjwa yasiyoambukizwa ikiwemo Kisukari, Shinikizo la Damu, Saratani na magonjwa mengineyo

RC Makalla amewashukuru na kuwapongeza Wadau waliofanikisha zoezi Hilo ikiwemo Clouds Media group Chini ya Mkurugenzi wake Joseph Kusaga, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Ocean Road, Hospital ya Taifa Muhimbili, MOI, AghaKhan, PCMC, TMH, Chama Cha madaktari, Red Cross, hospital za Manispaa, MDH, Tatu mzuka, Vodacom na wengieno.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa