• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Azindua Rasmi Kampeni Endelevu ya Usafi DSM

Posted on: December 4th, 2021

-Maelfu ya watu waungana nae kufanya usafi wa pamoja kuanzia fukwe ya Aghakan Kuelekea IFM na viunga vyake na kuhitimisha Viwanja vya Karimjee

-Wadau lukuki waunga Mkono Kampeni ya SAFISHA PENDEZESHA DSM

- Atoa RAI Jamii kuendelea kuelimishana Juu ya USAFI kupitia mitandao ya Kijamii

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo amezindua Kampeni kabambe ya Usafi endelevu yenye kauli mbiu ya SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM

*RC Makalla* amezindua Kampeni hiyo kwa vitendo kwa kufanya usafi wa pamoja akianzia fukwe ya Aghakan, IFM na viunga vyake na kuhitimisha Viwanja vya Karimjee akiwa ameambatana na Viongozi wa Halmashauri ya Jiji la DSM, Viongozi wa Siasa, Wasanii ambao ni mabalozi wa Usafi na Watu wengine wengi.

Akiongea wakati wa kuhitimisha mbele ya waandishi wa habari amewashukuru watu wote waliojitokeza leo na kuungana naye katika kufanya usafi wa pamoja na *kuwataka kufanya usafi wa kila siku katika kaya lakini kila mwisho wa mwezi kufanya usafi wa pamoja

" Usafi wa pamoja ni Jumamosi ya mwisho wa mwezi mara moja kuanzia saa 12:00 hadi 3:00 Asubuhi ukimaliza mapema Ruksa kuendelea na majukumu mengine" Alisema RC Makalla

Aidha Mhe Makalla amepokea misaada mbalimbali ya vifaa vya usafi kutoka kwa wadau walijitokeza kuunga mkono Kampeni ambao ni NMB, GNM, Mabohora na Wengine wengi

Sambamba na hilo RC Makalla amewataka wananchi kutumia mitandao ya Kijamii Vizuri ikiwemo kuelimishana Juu ya Umuhimu wa Usafi na kuunga mkono juhudi ya Serikali ya Mkoa wa DSM katika Kampeni hii endelevu ya Usafi.

Mkuu wa Mkoa anaendelea kuwaomba wadau kuunga mkono Kampeni hiyo, Ofisi yake inamkaribisha yeyote atakaye kuwa tayari kusaidia katika Kampeni ya SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM

USAFI UNAANZA NA WEWE " SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM" NDIO HABARI YA MJINI

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa