• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Azindua Miongozo na Mkakati wa Elimu Dar es Salaam

Posted on: September 9th, 2022

 

- Atoa maelekezo 8 kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Maafisa Elimu na Walimu.

- Awapongeza Walimu DSM kwa kutoa Elimu Bora na ufaulu mzuri.

- Awaahidi ushirikiano katika utatuzi wa changamoto zao.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo amezindua miongozo na mkakati wa Elimu ambapo amewaelekeza Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Maafisa Elimu kuhakikisha wanasimamia vizuri miongozo hiyo ikiwa ni pamoja na kutoa majibu ya changamoto ili kuongeza ufaulu.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliohusisha Walimu kutoka Shule mbalimbali za Mkoa huo, RC Makalla ametoa siku 14 kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Maafisa Elimu kumpatia taarifa ya idadi ya Shule zenye migogoro ya Wananchi kuvamia na kujenga

Aidha RC Makalla ameelekeza kila Halmashauri kuanza maandalizi ya maoteo ya Wanafunzi kuanzia Shule za awali, Msingi na sekondari ili Ujenzi wa madarasa ufanyike mapema huku akisisitiza usimamizi madhubuti wa fedha na Miradi ya maendeleo.

Pamoja na hayo RC Makalla amewataka Maafisa Elimu kuhakikisha wanasimamia *Wanafunzi wa awali, darasa la kwanza Hadi la tatu wawe wanajua misingi nitatu ya elimu ambayo ni kusoma, kuandika na kuhesabu.

Ili kuhakikisha ubora wa Elimu na usikivu wa watoto, RC Makalla ametoa wito kwa Walimu kujenga hoja na ushawishi watoto wapate chakula mashuleni Baada ya tafiti nyingi kuonyesha ufaulu unategemea pia na Lishe Bora kwa Watoto.

Hata hivyo RC Makalla amesisitiza suala la mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu ili kuboresha kada hiyo huku akitaka Walimu kuthaminiwa na kuheshimika

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa