• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AZINDUA KAMPENI YA USAJILI WALIPA KODI WAPYA

Posted on: August 5th, 2021

 - Awataka Wafanyabiashara kujisikia fahari na uzalendo kulipa Kodi.

- Asisitiza utunzaji wa kumbukumbu ili kurahisisha Zoezi la ukadiriaji wa kodi.

- Achukizwa na Wafanyabiashara wakubwa wanaowatumia Machinga kukwepa Kodi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amezindua Kampeni ya usajili wa walipakodi Wapya* ikiwa ni utekelezaji wa wa Maelekezo ya *Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ya kuitaka TRA kutanua wigo wa  Ukusanyaji wa Kodi.

RC Makalla ametoa wito kwa *Wafanyabiashara ambao bado hawajasajili Biashara zao kuzisajili* ili Waweze kutambulika na kutimiza takwa la kisheria la ulipaji wa Kodi.

Aidha RC Makalla amewataka Wafanyabiashara kutunza kumbukumbu ili kurahisisha Zoezi la ukadiriaji na ukusanyaji wa Kodi na kuwasisitiza kutoa risiti wanapouza na Wananchi kudai risiti.

Pamoja na hayo RC Makalla ameipongeza TRA Kwa Mapinduzi makubwa Katika ukusanyaji wa kodi Jambo lililowezesha Mapato kupanda na kuwezesha Serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo.*

Hata hivyo *RC Makalla* ameonyesha kuchukizwa na *tabia ya baadhi ya Wafanyabiashara wakubwa wanaowatumia Wamachinga kukwepa Kodi* na kuikosesha Serikali Mapato.

*Zoezi la usajili walipakodi Wapya limezinduliwa Mkoa wa Dar es salaam na litatekelezwa Nchi nzima ambapo TRA itakuwa ikitoa namba ya Utambulisho wa mlipakodi (TIN) bure pamoja na Tax clearence kwa Wafanyabiashara Wapya lengo likiwa ni kuongeza Mapato.*

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa