• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Awataka Wahitimu wa JKT Kuwa Sehemu ya Kudhibiti Wahalifu katika Mikoa Yao

Posted on: September 17th, 2022

 

-  Awataka wawe mfano wa kuigwa katika Jamii kwa kuwa wazalendo Na waadilifu.

- Wanaochaguliwa kujiunga JKT wajiunge pasipo visingizio.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewataka wahitimu wa mafunzo ya JKT kuwa sehemu ya kudhibi matukio ya uhalifu katika maeneo yao na kuwahimiza Wanaochaguliwa kujiunga na mafunzo hayo kujiunga pasipo visingizio.

RC Makalla amesema hayo Leo wakati akifunga rasmi Mafunzo ya Vijana wa Jeshi la kujenga Taifa JKT wa mujibu wa sheria kupitia Operesheni Jenerali Venance Mabeyo kwenye chuo Cha uongozi JKT Kimbiji ambapo amewataka wahitimu kuzingatia mafunzo waliyopatiwa.

Akizungumza na wahitimu hao RC Makalla amesema Mafunzo hayo ni muhimu kwakuwa yanawajenga vijana kuwa Wakakamavu, Wazalendo, Utii, Wawajibikaji na pia Elimu ya ujasiriamali.

Aidha RC Makalla ametoa wito kwa Wananchi na Viongozi wa Serikali kuhakikisha wanaweka Mkazo kwa Watoto wao kupata mafunzo hayo ambapo miongoni mwa Vijana waliohitimu Leo ni pamoja na Mtoto wa Mkuu wa Mkoa.

Pamoja na hayo RC Makalla ametumia hafla hiyo kuwahakikishia Wakazi wa Dar es salaam kuwa Serikali kupitia Jeshi la polisi wamejidhatiti kuhakikisha wanadhibiti vijana wa Panya Road ambapo mpaka Sasa Jeshi Hilo linawashikilia vijana waliojihusisha na matukio hayo.

Hata hivyo RC Makalla amepongeza chuo Cha uongozi JKT Kimbiji kwa kuanza kutoa mafunzo hayo ambapo pia amezindua Kiwanda Cha kuzalisha mikate na vitafunwa ambacho kipo Chini ya Kambi hiyo.


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa