• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Awataka Temesa Kutoweka Rehani Maisha ya Watumiaji Vivuko-Kigamboni

Posted on: April 8th, 2022

-Asema wanapaswa kufanya ukarabati wa Vivuko vyao Mara kwa Mara kwa mujibu wa Kalenda

-Ataka Elimu ya N- Card iwe endelevu na ieleweke

- Atoa Rai wananchi kuzingatia Usafi wa Mazingira

-Awataka TEMESA kukarabati kivuko hicho Cha tatu kwa Umakini

- Kwa upande wa Meneja wa Vivuko Lokombe King'ombe  akiri kupokea maelekezo hayo na kuyafanyia kazi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla ameendelea na ziara yake katika kutembelea Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam ili kukagua Miradi mbalimbali ya Maendeleo ambapo Leo yupo katika Wilaya ya Kigamboni

Akiwa Katika Wilaya hiyo Mhe. Mkuu wa Mkoa ameanza na Daraja la Kigamboni ili kuona utendaji kazi wa Vivuko vya Kigamboni ambapo amewataka TEMESA kutokuweka Rehani Maisha ya Wanakigamboni kwani kwa Wanakigamboni *Kivuko ndio roho ya usafiri wao

RC Makalla amewataka TEMESA kufanya ukarabati wa Vivuko hivyo Mara kwa Mara kwa mujibu wa Kalenda kwani kila kivuko kinajulikana kinatakiwa kifanyiwe ukarabati kwa muda gani

Aidha, Mkuu wa Mkoa amewataka TEMESA kuendelea kutoa Elimu ya N- Card kwa wananchi ili waielewe sambamba na kuwasaidia wale wasiokuwa na Elimu hiyo pindi wanapokuja na pesa mkononi waweze kuvuka huku Elimu wakiendelea kupewa

Hata hivyo Mhe. Mkuu wa Mkoa amewataka TEMESA kukarabati kivuko hicho Cha tatu kwa Umakini Mkubwa ili kije kuwahudumia Wanakigamboni ipasavyo

Kwa upande wake Meneja wa Vivuko kanda ya Mashariki na Kusini Bw. lokombe King'ombe akiri kupokea maelekezo yote na kusema atayafanyia kazi

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa