• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Awataka Makarani wa Sensa Kufanya Kazi Kwa Weledi na Uaminifu

Posted on: July 26th, 2022

 

- Afunga Mafunzo ya siku 21 kwa wakufunzi wa Sensa ngazi ya Mkoa.

- Awataka kuzingatia kanuni na taratibu walizofundishwa.

- Awaonya wasijiingize kwenye mtego uliomkuta "NGOSWE" Kupitia hadithi ya NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE

- Sasa Elimu inahamia kwa Makarani na Wasimamizi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo amehitimisha mafunzo ya Siku 21 kwa wakufunzi 1,064 wa Sensa ya watu na Makazi watakaokwenda kuwafundisha Makarani na Wasimamizi zaidi ya 10,000 wa zoezi Hilo linalotarajia kufanyika  August 23.

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, RC Makalla ameelekeza wakufunzi hao kuhakikisha kile walichojifunza wanakifikisha kwa ufanisi mkubwa kwa Makarani na Wasimamizi wa zoezi la Sensa ili liwe na Tija.

Aidha RC Makalla amesema Mkoa huo umejipanga vizuri kuhakikisha Zoezi la Sensa linafanyika kwa ufanisi mkubwa Kama ilivyofanyika zoezi la Anuani za Makazi ambapo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanya zoezi la Sensa kidigital

Ili kuhakikisha Elimu na hamasa ya Sensa inazidi kuwafikia watu wengi Zaidi, RC Makalla ameelekeza kila Wilaya kufanya Tamasha kubwa la burudani ambapo amesema Tamasha la Mkoa litafanyika kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe ambapo kutakuwa na burudani ya Mziki kutoka kwa wasanii mbalimbali.

Kuhusu suala la ulinzi na usalama siku ya Sensa, RC Makalla amesema anataraji kufanya kikao kazi na Maafisa wa Vyombo vya usalama ili kuhakikisha Makarani na Wasimamizi wanafanya kazi yao pasipo usumbufu Wala uhalifu.

*#SENSA KWA MAENDELEO,JIANDAE KUHESABIWA#

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa