• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Awakaribisha Wananchi Zoezi la Kupima Afya Bure ( Afya Check)

Posted on: May 30th, 2022

 

RC Makalla akiwa na Wataalam wa Afya ambao ni Madaktari bingwa wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari kwa lengo la kutoa taarifa kwa Umma kuhusu Zoezi la Kupima afya bure Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.

Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt Rashidi Mfaume akifafanua jambo wakati wa Mkutano huo na waandishi wa Habari


Muasisi wa Afya Check Dkt Isaack Maro akiongea mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu zoezi la kupima Afya bure linalotarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 3/06/2022 katika viwanja vya Tanganyika Packers Kinondoni DSM


- Uzinduzi utafanyika Juni 3 viwanja Tanganyika Packers- Kawe

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Mkoa huo kwa kushirikiana na Wadau wa Afya wanataraji kuanza zoezi la upimaji wa magonjwa mbalimbali Bure Afya Check kwa muda wa siku kumiambapo ametoa wito kwa Wananchi kujitokeza kwa wingi kupima Afya zao.

RC Makalla amesema ratiba ya zoezi Hilo itaanzia Wilaya ya Kinondoni Viwanja vya Tanganyika Packers Juni 03 mpaka Juni 04, Wilaya ya TemekeJuni 05 mpaka Juni 06 Viwanja vya Mwembeyanga, Wilaya ya Kigamboni Juni 07 Hadi Juni 08 Viwanja vya Mjimwema, Wilaya ya Ubungo Juni 09 Hadi Juni 10 Viwanja vya Barafu nna kuhitimishwa Wilaya ya Ilala Juni 11 mpaka Juni 12 Viwanja vya mnazi mmoja.

Aidha RC Makalla amesema Kampeni hiyo itaendeshwa na madaktari bingwa na wabobezi kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Ocean Road, Taasisi ya mifupa MOI, Hospital ya Taifa Muhimbili, Agakhan, Chama Cha madaktari, Saifee, Hospital binafsi na Hospital za Halmashauri.

Hata hivyo RC Makalla katika siku kumi za upimaji Wananchi watapata Fursa ya kupima magonjwa mbalimbali yasiyoambukizwa ikiwemo Kisukari, Shinikizo la Damu, Saratani na magonjwa mengineyo, uchangiaji wa Damu na chanjo ya UVIKO19 ambapo amewahimiza Wananchi kujiwekea utaratibu wa kupima Afya Mara kwa Mara.

Pamoja na hayo RC Makalla amewashukuru Clouds Media group kupitia kipindi Cha Afya Check kinachoendeshwa na mtangazaji Dr.Isack Maro kwa kuamua kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kufanikisha Zoezi hilo.

Ili kufanikisha Zoezi hilo, RC Makalla ameelekeza Halmashauri zote za Mkoa huo kufanya maandalizi ya kutosha katika maeneo yao


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa