• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Awakabidhi NSSF Eneo la Toangoma Lilovamiwa na Wanachi

Posted on: August 18th, 2022

 

- Aelekeza eneo kupimwa Viwanja vya Makazi Wavamizi walipie ili wamilikishwe.

- Awaonya Wananchi kuacha tabia ya kuvamia maeneo kwakuwa ni kosa la jinai.

- Wananchi wakiri kuvamia eneo na kushukuru uamuzi wa Serikali kuwakubalia kulipa fidia

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Wananchi wote waliovamia na kujenga kwenye maeneo ya Mfuko wa hifadhi ya Jamii NSSF Kushirikiana na mfuko huo kwa kukubali kulipa fidia ya Fedha ili waweze kumilikishwa na kuendelea kusalia kwenye maeneo hayo.

RC Makalla ametoa maelekezo hayo Kufuatia Kamati iliyoundwa kuchunguza Mgogoro huo kubaini Wananchi hao walivamia maeneo ya NSSF na kujenga kinyume na sheria.

Akizungumza na Wavamizi hao wakati wa ziara ya utatuzi wa migogoro ya Ardhi Wilaya ya Temeke, RC Makalla ameelekeza NSSF kurasimisha upya maeneo hayo kwa kupima Viwanja ili Wavamizi waliotayari kulipa walipe na Baada ya Mgogoro kuisha Wananchi watapitiwa na Zoezi la anuani za Makazi na Kupatiwa namba.

Aidha RC Makalla amesema maamuzi hayo ni sehemu tu ya Busara ya Serikali ambapo ameonya tabia ya Wananchi kuvamia maeneo ya watu na Taasisi.

Miongoni mwa Viwanja vya NSSF Vilivyovamiwa vipo maeneo ya  Mwapemba, Toangoma na Mtoni Kijichi ambapo kwa eneo la Mwapemba zaidi ya Wananchi 100 wamevamia eneo la NSSF lenye ukubwa wa Mita za mraba 210,000 na kuweka Makazi.

Kwa upande wao baadhi ya Wavamizi akiwemo Rehema Mwita Wamemshukuru RC Makalla kwa uamuzi wa kuwaruhusu kulipa fidia ili waweze kusalia katika eneo Hilo na Wameahidi kutoa ushirikiano kwa NSSF Kulipa kiasi Cha fedha watakachotakiwa kulipa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa