• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Awaaga Viongozi wa Machinga na Bodaboda Wakielekea Rwanda

Posted on: February 6th, 2023

 

-Amshukuru Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kubariki ziara ya mafunzo kwa Viongozi wa makundi hayo nchini Rwanda

Atoa shukrani kwa NMB kuwezesha ticket za Viongozi 12 kwenda Rwanda

- Awataka kwenda kutengeneza mahusiano, kujifunza,na kupanua fursa za kibiashara

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makalla leo Februari 6, 2023 ameagana na Viongozi wa Machinga na Bodaboda katika Uwanja wa Mwl JK nyerere (JNIA) Terminal Three wakati wakipanda ndege kwenda Ziara ya mafunzo Nchini Rwanda

CPA Makalla wakati akiagana na Viongozi hao amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kubariki ziara hiyo ya mafunzo kwa Viongozi wamachinga na bodaboda kwenda nchini Rwanda

Aidha CPA Makalla amewashukuru Benki ya NMB kwa kufanikisha kuwapatia ticket za ndege 12 kwa mgawanyo wa Viongozi wa mchinga 5 bodaboda 5 na maafisa 2 wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo

Vilevile CPA Makalla amesema Rwanda imefakiwa kuwapanga wamachinga vizuri, udhibiti wa biashara holela pia bodaboda wanavituo vyao vizuri na wanafuata sheria hivyo Viongozi wa Machinga na Bodaboda watajifunza namna wenzao walivyofanikisha katika sekta hizo na kuwa *mabalozi wazuri pamoja na kutoa elimu kwa wenzao watakapo rudi Dar es Salaam

Sambamba na hilo CPA Makalla amewahakikishia tayari ameshaweka utaratibu mzuri wa Machinga na Bodaboda wa Rwanda kukutana na wa Dar es Salaam huku akiwataka kutumia fursa hiyo kujifunza,kutengeneza mahusiano ya namna bora wao kufanya biashara kwa masilahi mapana ya nchi hizi mbili.

Ifahamike kuwa ziara hiyo ya mafunzo nchini Rwanda ni ya siku 4 kuanzia leo Februari 6 ,2023 hadi Februari 10,2023

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • RC Makalla Atimiza ahadi ya Kuwapeleka Viongozi wa Machinga Taifa Kigali Rwanda

    March 10, 2023
  • RC Makalla Hakuna Fremu Soko la Kariakoo Zilizogawiwa Epukeni Matapeli

    March 26, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa