• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Atoa Maelekezo Matano kwa Uongozi Mpya wa Wenyeviti wa Mitaa DSM

Posted on: October 13th, 2021

 

- Asema wenyeviti wa mitaa ni watu muhimu sana katika kusukuma gurudumu la maendeleo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Octoba 13, 2021 amekutana na Umoja wa wenyeviti wa mitaa Mkoa, Kigamboni Barakuda Beach - Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa amekutana na umoja wa wenyeviti wa mitaa akiwa kama mlezi wa wenyeviti Mkoa wa Dar es Salaam

Akiwa katika hafla hiyo alisomewa majina ya uongozi MPYA ambao unaongozwa na mwenyekiti mpya Mhe Juma Mwingamno Uongozi uliopatikana kutokana na uchaguzi uliofanyika.

Mhe Makalla amesema maendeleo katika Mkoa yanachangiwa na kazi kubwa inayofanywa na wenyeviti wa mitaa hivyo kupitia uongozi mpya uliopatikana ni vyema maelekezo yafuatayo yakazingatiwe na wenyeviti katika maeneo yao.

Kuhakikisha kila mtaa unakuwa Salama amewataka wenyeviti kusimamia usalama kwa kuwa na ulinzi shirikishi ili mitaa salama nyakati zote.

Kusimamia na kutatua Migogoro ya Ardhi Mhe Makalla amesema wenyeviti hao wasiwe sehemu ya Migogoro ya Ardhi, watunze maeneo ya wazi yasivamiwe na wananchi.

Usafi Mkuu wa Mkoa amesema Jiji la Dar es Salaam usafi hauridhishi amesema Novemba 6, 2021 atazindua rasmi kampeni ya usafi Mkoa wa Dar es Salaam awataka kusimamia zoezi hilo kikamilifu.

Kusimamia zoezi la kuwapanga Machinga Mhe Makalla amebainisha mbele ya wenyeviti hao biashara holela zinazofanyika zinachangia Jiji kuwa chafu hivyo wakasimamie zoezi hilo.

Miradi ya Maendeleo Mhe Mkuu wa Mkoa amesema Miradi yote inatekelezwa katika mitaa hivyo wenyeviti wa mitaa ni wadau muhimu katika Usimamizi wa Utekelezaji wa mradi mbalimbali katika maeneo yao.

Aidha Mhe Makalla amewataka wenyeviti wa mitaa kuwa mabalozi wa kuhamasisha Wananchi kuchanja chanjo ya Uviko -19 kwa kuwa ugonjwa huo upo.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa wenyeviti mpya Mhe Juma Abas Mwangimno amemhakikishia Mkuu wa Mkoa utumishi uliotukuka. Vilevile Mkuu wa Mkoa amesema anazifahamu Changamoto zao yuko tayari kukaa kikao na yuko tayari kuwasemea.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa