• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA ATOA MAELEKEZO 3 KWA SHIRIKA LA DDC

Posted on: November 17th, 2022

- Asema Rais Samia ameelekeza Shirika kujiendesha kiuchumi na kibiashara Kama maono ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
- Ataka Mali zote za DDC zilizoporwa/kuvamiwa kuainishwa ili zikombolewe.
- Aelekeza Bodi na Menejimenti kubadilika kifikra na kimtazamo Shirika lijiendeshe kibiashara
- Shirika liandae Mpango Mkakati wa Biashara wa muda mfupi, wa Kati na muda mrefu.
- Apongeza Maboresho yaliyoanza kufanyika Baada ya maelekezo aliyotoa

RC Makalla akiongea wakati wa hafla ya uzinduzi wa Keko Millenium Lounge-Temeke


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameelekeza Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jiji la Dar es salaam DDC kubainisha Mali zote zilizovaniwa au kuporwa ili aweze kuweka Nguvu kuhakikisha zinarejeshwa kwa mujibu wa sheria.
RC Makalla ametoa maelekezo hayo wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa DDC Millennium Lounge Keko Temeke ametaka Bodi na Menejimenti ya Shirika kubadilika kifikra na kimtazamo Shirika lijiendeshe kibiashara.

Aidha RC Makalla ameelekeza Shirika kuandaa Mpango Mkakati wa kibiashara kwa kutumia Vizuri rasilimali zinazomilikiwa na Shirika kukuza Uchumi.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema Rais Samia Suluhu Hassan anataka kuona DDC yenye mafanikio makubwa Kibiashara na kiuchumi kulingana na lengo la hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa