• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Atembelea Ujenzi wa Kituo cha Biashara Afrika Mashariki

Posted on: January 19th, 2023

 

- Ni kituo kikubwa na Cha kipekee kwenye ukanda wa Afrika Mashariki.( East Africa commercial and Logistics centre)

- Asema Mradi una maslahi mapana ya Taifa kwenye nyanja za uchumi, Biashara na utalii.

- Awaondoa hofu Wafanyabiashara nchini wanaohisi mradi utachangia kushuka kwa Biashara Zao.

- Ampongeza Rais Dkt.Samia kwa ziara zake za kuifungua nchi na kuvuta wawekezaji.

- Mradi ulisimama takribani Miaka 10.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla Leo ametembelea Mradi Mkubwa wa ujenzi wa kituo Cha Biashara Afrika Mashariki unaojengwa Halmashauri ya Ubungo ilipokuwa Stendi ya mabasi ya zamani ikihusisha ujenzi wa maduka zaidi ya 2,060 ambapo Mradi unagharimu shilingi bilioni 280.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo, RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara nchini waliokuwa na wakihisi kuwa labda ujenzi wa kituo hicho utakwenda kuzorotesha Hali ya Biashara Zao.

Aidha RC Makalla amesema ndoto na mipango ya ujenzi wa kituo ulianza tangu mwaka 2013 pasipo mafanikio yoyote na kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Kwa kufanikisha jambo Hilo.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema ujenzi wa kituo hicho una manufaa makubwa kwa nchi katika nyanja za uchumi, Biashara na utalii.

Hata hivyo RC Makalla amesema manufaa mengine ya mradi ni kusaidia Wafanyabiashara kuagiza mizigo China, Unafuu wa Bei ya bidhaa na kuokoa gharama za nauli na malazi kwa Wafanyabiashara waliokuwa wakifuata mizigo China.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa