• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Ataka Kila Mwananchi Kwenye Nyumba yake DSM Kupanda Miti Rafiki

Posted on: April 8th, 2023

RC Makalla akiongoza wananchi kupanda miti zaidi ya 2000 mapema leo Kata ya Bunju-Kinondoni


-Amesema Rais Dkt Samia na Viongozi wengine Duniani wameelekeza umuhimu wa  kutunza MAZINGIRA Na kupanda miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya Nchi

-Aishukuru Benki ya NMB kwa ufadhiri wa Kampeni ya Upandaji na Utunzaji miti pamoja na TFS kwa kugawa miche ya miti bure

- Awataka Viongozi wa ngazi zote DSM kuhamasisha Upandaji na Utunzaji wa miti katika maeneo yao

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam CPA Amos Makalla amewataka kila mwananchi kwenye nyumba yake katika mkoa huo kupanda miti rafiki ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

CPA Makalla ameyasema hayo leo katika viwanja vya Shule ya Sekondari Michael Tarimo iliyoko Kata ya Bunju, Manispaa ya Kinondoni *wakati akizindua Kampeni ya upandaji miti kwa Mkoa wa Dar Es Salaam

Aidha CPA Makalla amesema licha ya kuwa zoezi la kupanda miti ni maelekezo ya Ilani ya CCM, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo hayo kwa msisitizo mkubwa yeye binafsi, vilevile hata Viongozi wengine Duniani wameeleza umuhimu wa kuwa na Kampeni ya kupanda miti ili kutunza mazingira ambayo ndio njia nzuri ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

CPA Amos Makalla ameishukuru Benki ya NMB kwa kufadhiri Kampeni ya kupanda miti na kutenga fedha zaidi ya Bilioni 4 kuhamasisha Upandaji na Utunzaji miti nchini, pia amezitaka taasisi zingine za kifedha kuiga mfano wa NMB, hata hivyo amewapongeza TFS kwa kutekeleza wajibu wao kwa kuwezesha kutoa miche ya miti zaidi ya elfu 28 bure.

Sambamba na hilo CPA Makalla ameagiza Viongozi wa ngazi zote DSM kuhamasisha Upandaji na Utunzaji wa miti katika maeneo yao kwa nguvu zote ambapo amesema ni matarajio yake pesa zitakazotolewa na NMB kwa washindi wa Utunzaji wa Mazingira, washindi wote watoke Dar Es Salaam.

Ifahamike kuwa katika Uzinduzi huo leo April 08, 2023 CPA Makalla ameongoza wananchi kupanda miti mbalimbali ya kivuli, matunda na mbao takribani elfu mbili (2000)

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa