• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA ATAKA DDC MPYA YENYE KUJIENDESHA KIBIASHARA

Posted on: August 9th, 2022

 

-Aagiza Bodi ya DDC Kuhakiki mali zote na Kuzirejesha

-Alitaka Shirika hilo kuandaa Mpango Mkakati wa Kibiashara " Strategic Business Plan"

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Agosti 9,2022 amekutana na Viongozi wa Shirika la Uchumi na Maendeleo ya Biashara Jiji la Dar es Salaam (DDC) katika Ukumbi mdogo wa mikutano ulioko Anatoglo Mnazimmoja Ilala Jijini Dar es Salaam.

Akiongea na Viongozi hao ameeleza dhamira yake ya kulitaka Shirika hilo kujiendesha Kibiashara ili liweze kupata faida ambayo italiwezesha kutoa Gawio kwa Serikali kama ilivyo kwa mashirika mengine.

Aidha RC Makalla ametoa agizo ili kufikia adhima hiyo kwanza kufanya uhakiki mali zote za shirika na Kuzirejesha chini ya DDC na ujereshaji wa mali hizo kwa Upande wake kama kiongozi wa Mkoa kesho Agosti 10, 2022 atembelea kakagua na kurejesha eneo la Hekari zaidi ya 1931Mapwebande- Kinondoni* ambazo ni mali ya shirika hilo.

"Mtazamo wangu nikiwa Mkuu wa Mkoa huu Shirika lijiendeshe Kibiashara zaidi na Safari ndio hii imeanza" Alisema RC Makalla

Sambamba na hilo RC Makalla amelitaka shirika la DDC kuwa na mpango mkakati wa Kibiashara ambao utawawezesha kila eneo wanalo miliki kujua watalifanyia nini hata kama kuna uhaba wa rasilimali fedha wanaouwezo wa kutafuta wawekezaji wakawekeza na shirika likapata faida.

Shirika la Uchumi na Maendeleo ya Biashara Jiji la Dar es Salaam (DDC) ni miongoni mwa mashirika Kongwe Nchini ambalo kwa sasa limekuwa halifanyi vizuri hivyo Maono ya RC Makalla ni mwarobaini wa Shirika hilo kuwa na manufaa kwa wananchi wa DSM na Taifa kwa Ujumla

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa