• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Ataja Vipaumbele 3 Wakati Akiahirisha Kikao cha RCC

Posted on: February 17th, 2023

 -Kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika Mkoa wa Dar es Salaam-Utekelezaji wa mkakati wa kuanzisha mfuko wa Barabara DSM
-Kuunda kikosi kazi cha kuwa na Muundo bora wa Jiji la DSM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam CPA Amos Makalla ametaja vipaumbele vitatu (3) mahususi vya kutekeleza wakati akiahirisha kikao maalum cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa katika Ukumbi wa Anatoglo Mnazimmoja Ilala -Jijini Dar es Salaam
CPA Makalla amesema kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika Mkoa wa DSM ni moja ya kipaumbele chake ambapo amewahakikishia wajumbe wa kamati ya ushauri ya Mkoa kuwa anaanza kuitisha Kikao kazi kitakachohusisha wadau wa elimu wote ambacho kitajadili kwa kina baadae kongamano kubwa la Elimu
Aidha CPA Makalla amebainisha kutokana na pendekezo la wajumbe wa kamati la kuwa na mfuko maalum wa barabara katika Mkoa, huku wakionyesha umuhimu na faida za mfuko huo CPA Makalla amesema Utekelezaji  wa pendekezo hilo utatekelezwa mapema iwezekanavyo.
Vilevile CPA Makalla amesema kipaumbele kingine ni kuunda kikosi Kazi ambacho kitaketi na kitapitia kisha kuleta mapendekezo ya Muundo bora wa Jiji la Dar es Salaam
Sambamba na hilo CPA Makalla amewahakikishia wajumbe wa kamati ya Ushauri ya Mkoa kuwa Ushauri, maoni na mapendekezo ambayo wamewasilisha katika kikao hicho, yote yamepokelewa na yatafanyiwa kazi.
Kikao hicho cha Kamati ya Ushauri Mkoa (RCC) kimehudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa, Katibu Tawala Mkoa, Weheshimiwa Wabunge, Wakuu wa Wilaya, Mameya, Sekretarieti ya Mkoa, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma na wataalam wengine kutoka Halmashauri za Manispaa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa