• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Ataja Mambo 3 Kudhibiti Kelele na Mitetemo

Posted on: September 28th, 2021

 

- Asema Elimu itolewe Juu ya athari za Kelele na Mitetemo katika Jamii

- Taasisi za Dini zifanye kazi kwa karibu na Idara ya Ardhi na Mipango miji

- Asisitiza Umuhimu wa Kufuata Sheria za Mazingira

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Septemba 28, 2021 amefungua Semina kwa Viongozi wa Dini Mkoa wa Dar es Salaam katika Ukumbi wa Millennium Tower Makumbusho, Dar es Salaam.

Akiongea katika warsha hiyo iliyoandaliwa na NEMC Mkuu wa Mkoa amewashuru Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kuandaa Semina hiyo.

Mhe Makalla amebainisha wakati wa ziara yake ya Jimbo kwa Jimbo moja ya malalamiko aliyokuwa yakitolewa na wananchi ni pamoja na Kelele na Mitetemo na makelele mengi yanayolalamikiwa yanatoka sehemu za starehe kama vile mabaa na Nyumba za Ibada.

"Unakuta baa ipo katikati ya makazi na inapiga Mziki usiku kucha na nyumba za ibada nyingi zimejengwa pasipo kuzingatia taratibu za mipango miji hivyo kuleta athari za kiafya kwa jamii zinazunguka maeneo hayo " Alisema *Mhe Makalla*

Mkuu wa Mkoa amesema ziko athari nyingi za kiafya ikiwemo kukosa usikivu mzuri hatimaye kuwa kiziwi na msongo wa mawazo, Migogoro katika jamii na nyingine nyingi, hivyo sasa hatua sifuatazo lazima zifanyike kuinusuru Jamii .

Kwanza kabisa *Elimu* itolewe kwa Jamii juu ya athari za kiafya zinazotokana na makelele na Mitetemo.

Pili Taasisi za Dini zifanye kazi kwa karibu na Idara ya Ardhi na Mipango miji ili kuweza kubaini maeneo ambayo yanaruhusiwa kujenga nyumba za Ibada kwa mujibu wa taratibu za Mipango miji.

Aidha kwa kuwa sheria za Mazingira zipo ni wakati muafaka kila mtu Kufuata Sheria hizo ili kuondoa tatizo hilo katika Jamii.

Mhe Makalla amewataka Viongozi wa Dini na Wadau wengine wote baada ya Semina hii wakajitathimini kwa kina pamoja na kuwaelimisha wenzao na kuchukua hatua ili kumaliza tatizo hili la Makelele na Mitetemo katika Jamii.




























Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa