• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Asimamisha Shughuli za Uchimbaji Madini Boko - DSM

Posted on: May 26th, 2022

 .

RC Makalla wa tatu kutoka kushoto akikagua eneo lillilovamiwa na wananchi wakijishulisha na uchimbaji wa kokoto Boko Kinondoni- Dar es Salaam


- Atoa Wiki moja kwa wavamizi kuondoka na kuondoa kokoto walizochimba.

- Akemea tabia ya wananchi kuvamia maeneo ya watu kiholela.

- Tamko la mkuu wa mkoa linafuatia Amri ya mahakama kutambua  Kampuni ya Al Hushiim Investment ltd ambao ndio mmiliki halali.

- Aelekeza Jeshi la Polisi kuanza doria ya kulinda eneo Hilo Na kufikia tarehe 4/6/2022 Asionekane Mwananchi yeyote ili kampuni ijenge kiwanda cha Saruji

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameamuru kusimamia kwa Shughuli zote za uchimbaji wa madini kwenye eneo la mwekezaji Boko lililovamiwa na kutoa wiki moja kwa Wavamizi kuondoa mali na kokoto walizochimba Mara moja.

RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea eneo Hilo lenye ukubwa wa hekta 70 ambapo tayari Mahakama ilishatoa haki kwa Kiwanda Cha Al Hushiim Investment ltd ambao ndio mmiliki halali.

Aidha RC Makalla amesema eneo Hilo ni mahususi kwaajili ya Shughuli za uchimbaji wa madini ambapo amepiga marufuku eneo kutumika Kama Makazi na kuelekeza kuanza kwa mchakato wa Kiwanda Cha saruji

Hata hivyo RC Makalla ameelekeza Jeshi la Polisi kuanza doria ya kulinda eneo Hilo kwa kushirikiana na walinzi wa kampuni hiyo ambapo amesema Magari yatakayoruhusiwa kuingia ni Yale yanayokwenda kuchukuwa mzigo pekee na sio uchimbaji.

Pamoja na hayo RC Makalla amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni *Mhe. Godwin Gondwe* kufika kwenye eneo baada siku Saba kuanzia leo ili kujirudhisha.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa