• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Asilimia 94.3 ya Wananchi Wamehesabiwa DSM

Posted on: August 30th, 2022

 

- Asema Mkoa umefanya vizuri zoezi la Sensa licha ya kuwa na idadi kubwa ya Wananchi.

- Dar es salaam inafanya zoezi la Sensa kwa umakini mkubwa ili kupata takwimu sahihi.

- Awataka Wananchi ambapo bado hawajahesabiwa kufika ofisi za Serikali ya mtaa au kupiga simu kupitia namba maalumu.

- Makarani wahimizwa kutuma taarifa kwa wakati.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Mkoa huo umefanya vizuri kwenye zoezi la Sensa ya watu na Makazi ambapo mpaka asubuhi ya Leo August 30 taarifa zilizotumwa na Makarani wa sensa zinaonyeshazaidi ya Asilimia 94.3 ya Wananchi wamehesabiwa.

Akizungumza wakati wa kupokea taarifa ya mwenendo wa zoezi Hilo kwa Mkoa, RC Makalla amesema Makarani ambao bado hawajakamilisha kutuma taarifa wakituma taarifa zote ni dhahiri kuwa Mkoa utakuwa umefikia Asilimia 100.

Aidha RC Makalla amesema Mkoa huo unafanya Zoezi Hilo kwa umakini mkubwa ili kupata takwimu sahihi na za uhakika Kutokana na Mkoa huo kuchukuwa Asilimia 10-13 ya Wananchi wote wa Tanzania.

Ili kuhakikisha kila mmoja anahesabiwa, RC Makalla amewataka Wananchi ambao bado hawajahesabiwa kufika Ofisi ya Serikali ya mtaa na kuacha mawasiliano au kupiga simu kupitia namba maalumu zilizotangazwa kwa kila Wilaya ili aweze kufikiwa.

Pamoja na hayo RC Makalla amempongeza Kamisaa wa Sensa Anna Makinda kwa kuongeza siku ambapo pia amewapongeza Wakuu wa Wilaya kwa kusimamia Vizuri zoezi Hilo.

NAMBA ZA KUPIGA:

Kinondoni 0800110182

Ilala 0800110183

Temeke 0800110184

Ubungo 0800110185

Kigamboni 0800110186

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa