• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Apongeza Halmashauri za Kinondoni na Ubungo kwa Kupata Hati Safi

Posted on: June 24th, 2022

 

Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Kinondoni wakati wa Baraza Maalum katika Ukumbi wa Manispaa hiyo Jijini Dar es Salaam


- Awataka Madiwani kusimamia Viizuri Halmashauri ili kulinda hati safi waliyopata.

- Awaelekeza kufanyia kazi hoja zote za CAG na kuzifunga ili zisijirudie.

- Ataka Maoni na mapendekezo ya wakaguzi wa ndani yafanyiwe kazi.

- Baraza la Madiwani laahidi kufanyia kazi maelekezo yote.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amezielekeza Halmashauri za Manispaa ya Ubungo na Kinondoni kuhakikisha wanafanyia kazi Maoni na mapendekezo yaliyotolewa na Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali CAG ili kuhakikisha wanaendelea kupata hati safi.

RC Makalla ametoa maelekezo hayo nyakati tofauti wakati wa Vikao maalumu vya Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo na Kinondoni kilichoketi kupitia Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali CAG.

Akiwa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni,  RC Makalla amewaelekeza Madiwani  kuisimamia vizuri Halmashauri hiyo kwa kuhakikisha hoja zote za CAG zinafanyiwa kazi kwa wakati, kufungwa na kuweka Mikakati ya kuhakikisha hazijirudii

Aidha RC Makalla ameelekeza Halmashauri hiyo kutafuta ufumbuzi wa uendeshaji wa timu ya mpira wa miguu ya KMC iliyo Chini ya Halmashauri Kutokana na taratibu za uendeshaji kupeleka kuibuka kwa hoja nyingi inapokuja suala la Ukaguzi.

Kuhusu mashauri ya kesi zilizopo Mahakamani zinazohusisha zaidi ya Shilingi Bilioni 15, RC Makalla amesisitiza Halmashauri kupitia wanasheria kufanya uhakiki ili kuziondoa kesi hizo Mahakamani na kuzimaliza kwa njia ya maridhiano ya pamoja Kutokana na mashauri kuchukuwa muda mrefu na kuigharimu Serikali.

Hata hivyo RC Makalla ameshiriki baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ambapo amepongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi licha ya uchanga wake.

Pamoja na hayo RC Makalla ameendelea kusisitiza Mkazo kwenye Zoezi la Anuani za Makazi, Sensa ya watu na Makazi, kudhibiti Ufanyaji biashara holela na Usafi.

RC Makalla akisalimiana na Diwani wa Kawe Mhe Muta Rwakatare baada ya kumaliza kikao cha Baraza Maalum Manispaa ya Kinondoni


Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Ubungo wakati wa Baraza Maalum katika Ukumbi wa Manispaa hiyo Jijini Dar es Salaam Mapema leo


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa