• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Apokea Msaada wa Vifaa Tiba vya thamani ya Milioni 205 Kutoka Ujeruman Humburg

Posted on: February 4th, 2022

- Apongeza na kusifu Jitihada za Rais Samia kuifungua Tanzania

- Awashukuru Wajerumani- Humburg na kusema huo ni msaada wa Awamu ya kwanza, wa Awamu ya Pili kuja

- Ataja Vifaa hivyo na  kupelekwa Hospitali za Wilaya zote za Dsm

- Aomba Vifaa hivyo kutunzwa ili vidumu

-RMO Ataja mgao wa kila Hospitali ya Wilaya DSM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla leo tarehe 4 February 2022 amepokea Msaada wa Vifaa Tiba vyenye thamani ya Shilingi Milioni 205 kutoka Ujerumani - Humburg

Mhe. Makalla amepongeza na kusifu Jitihada kubwa zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan za kuifungua Tanzania Kimataifa ambapo imepelekea Tanzania kupokea misaada mbalimbali ikiwemo hiyo ya Vifaa Tiba

Mkuu wa Mkoa ametaja Vifaa hivyo kuwa ni pamoja na Vitanda 108 na Meza za Pembeni 72 ambavyo vinaenda kupunguza Msongamano Hospitalini na kutatua changamoto mbalimbali Hadi Kuboresha Hospitali za Mkoa wa Dar es Salaam

Hata hivyo Mhe. Makalla amewashukuru Wajerumani- Humburg na kusema huo ni msaada wa Awamu ya Kwanza ambapo wa Awamu ya Pili unatarajiwa kufika hivi karibuni ukiwa na "Container 9" zenye Meza 152 na Vitanda 151

Aidha Mkuu wa Mkoa ameomba kutunzwa kwa Vifaa hivyo ili vidumu kwa vizazi hata vizazi

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Rashidi Mfaume ametaja mgawanyo wa Vifaa hivyo katika Hospitali za Wilaya za Dar es Salaam kuwa ni pamoja na Kigamboni Vitanda 24, Makabati 16, Kinondoni Vitanda 21,Makabati 14, Temeke Vitanda 21,Meza 14, Jiji Vitanda 21, Meza 14 na Ubungo Vitanda 21 ,Meza 14

Hafla hiyo imehudhuriwa na Katibu Tawala wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Rmo, Meya wa Kigamboni, Kamati ya Amani na Watumishi wa Kigamboni



Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa